The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
2003 huyo mtoto Feruz (miaka ile kuonana uso kwa macho na msanii hata wale wa mchiriku ilikuwa bonge moja la sifa) akiwa na Jeep yake dark blue akaja dukani kwa bro wangu Ilala wezi walikuwa wamempiga side mirror yake so akawa anatafuta.
Tulikuwa tumekaa nje kwenye bench kama watu saba hivi alipofika aka-park gari mbele yetu akashusha kioo nusu bila hata salamu akamtaka mwenye duka hakuna aliyemjibu na tulikuwa tunamkubali sana akamshusha mpambe wake mmoja akaulize moja kwa moja pale dukani bro akamrusha mshkaji amwambie “hatuuzi” ila alikuwa na akili mwisho akajua kosa lake akajirudi.
Siku zote hela zinapokuwa nyingi hasa kwa vijana wakikosa management nzuri hushindwa kuzi-control mwisho ndo kama hivi
Tulikuwa tumekaa nje kwenye bench kama watu saba hivi alipofika aka-park gari mbele yetu akashusha kioo nusu bila hata salamu akamtaka mwenye duka hakuna aliyemjibu na tulikuwa tunamkubali sana akamshusha mpambe wake mmoja akaulize moja kwa moja pale dukani bro akamrusha mshkaji amwambie “hatuuzi” ila alikuwa na akili mwisho akajua kosa lake akajirudi.
Siku zote hela zinapokuwa nyingi hasa kwa vijana wakikosa management nzuri hushindwa kuzi-control mwisho ndo kama hivi