Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Sahv zingekua 50B kupanda kama angeziwekezaImagine B ya wakati ule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahv zingekua 50B kupanda kama angeziwekezaImagine B ya wakati ule
Mimi nikibahatika kupata hela nyingi kwa ghafla nitazini balaa. Tandaza miti kama sina akili nzuri kwaanzia vibinti legal age 18+ kuendelea huko. Labda ndo maana sirgodi ameniwekea limit. Yani anifanye dollar millionaire. God forbidKupata pesa nyingi kwa ghafla kama hujajipanga ni hatari sana.
Hii mbona kawaida hata mm mbugila huwa nafanya au jamaa alikuwa anatoa mtonyo mwingi sana [emoji848]Kuna siku Mr nice alikuja masai club akanunua stick ya pool table kwa mwana anayecheza na akawa anamlipa kila anayemfunga ili aendelee kucheza
Na kwa mentality hiyo hela hupatiMimi nikibahatika kupata hela nyingi kwa ghafla nitazini balaa. Tandaza miti kama sina akili nzuri kwaanzia vibinti legal 18+ kuendelea huko. Labda ndo maana sirgodi ameniwekea limit. Yani anifanye dollar millionaire. God forbid
Mbona wengi wenye mentality kama yangu walĺikamata, wamekamata na watakamata hela ndefu tu. Sasa hela bila ngono inafaida gani si bora ufe tu. Raha ya hela nikutandaza miti at will. Twenty four hours of massive and aggressive fakin.Na kwa mentality hiyo hela hupati
Na aikipata ajue kifo kinakaribia [emoji848]Na kwa mentality hiyo hela hupati
Diamond form ngapiWengi wao walikuwa ni form IV division 0 au STD VII
Diamond alikuwa na mentality akizipata atapitia mastaa wengiNa kwa mentality hiyo hela hupati
Ni kweliUshamba wa pesa haujawahi kumwacha mtu salama. Pesa bila discipline lazima ulie na kusaga meno
Na majani alifit vizuri sana aiseee kuanzia kuimba mpaka video yakeAlimkatalia hadi Madee kufanya chorus ya yote maisha hata baada ya kuitwa na boss wake Majani lakini bado hakutokea mpaka ikambidi majani afanye chorus mwenyewe
Ilikuwa Ni pesa nyingi mno ndio maana Nice anasema gari Kali za wakati ule kamiliki sanaImagine B ya wakati ule
BabyNa wewe huwa unatukana kumbe
Kuna siku nimekutana na freooz na picnic arusha anachekacheka tu 😀😀malaya wanamkimbilia na wahuni wanampa offer za biaWakiwa njiani baada ya kukubaliana na Prof Jay kuwa kuna show wanaenda kupiga mkoa flani, Ferooz ghafla akamwambia Prof Jay kuwa naona miyeyusho hii safari kama vipi nageuza [emoji23][emoji23] Akiwa na wapambe wake wakageuza zake nakurudi mjini nakumuacha Prof. Kwenye mataa kitu ambacho
kilimuumiza prof Jay, mko mnaenda Morogoro na mwana mnafika Kibaha mshikaji anakwambia narudi Zangu Dar bila sababu ya msingi inaumiza kiasi gani? Ferooz alikuwa wamoto sana nyakati zake nakumbuka wakati ‘Starehe’ inatoka tulikuwa tunashindana nani kaiona mara nyingi video kwenye
TV sababu ilikuwa ni nyimbo ya Taifa(hadi leo) haijawai tokea wimbo wa magonjwa ukaopendwa sana na watu kubang nao huku ukisindikizwa na Verse kali kutoka kwa Prof. Jay ikikamilisha ngoma kuwa tamu zadi kuliko mvinyo ulikokaa takribani miaka 30 kutoka kiwanda cha Dodoma wine
Wasanii wengi wazamani walipiga sana hela sema kilichowasumbua ni ulimbukeni na starehe za mjini, mtu aliamini Akila milioni 4 leo kesho simu ya promota itaita tena aende kupiga vimeo, kwa mujibu wa Soggy Dog anadai kuwa Mr.Nice alikuwa
anatembea na pesa kwenye buti yani anakula bia bar ghafla anasema “bia za hapa mbaya twenzetu tukale bia Arusha” Soggy akiomba aende home akachukue Nguo Mr. Nice anacheka anamwambia hela zipo kwenye buti tutanunua Arusha.[emoji23]
Producer mkongwe Master Jay anadai kwa macho yake alikuwa ana shuhudia mwindi ‘Mamu’ akiwakabidhi milioni 100 wagosi wakaya kama ‘first inastallment’ ya mauzo ya album na kuna wakati walinunua Gari lake cash hapohapo baada ya kumshawishi kuwa anauza bei gani gari lake [emoji23][emoji23]
Msanii mmoja kutoka kundi la Wagosi wakaya ‘Dokta John’ aliwai kusema kwenye moja ya interview kuwa ni kweli walichezea pesa na anajutia hilo.
Ile kauli kuwa wasanii wazamani hawakupiga Pesa inaweza kuwa ni kweli ukilinganisha na leo ila sio kwamba pesa hawakupata kabisa.
Nature miaka ya nyuma alikuwa anatembelea benzi na inasemekana alikuwa akilimiliki Tax kadhaa mitaa ya Temeke, Matonya alijenga hotel Tanga, miaka 2004 kuna msanii wakike alikuwa anamiliki Zaidi ya
milioni 500 bank. Miaka ya hivi karibuni wasanii wamekuwa hawategemei tena album kama mwanzo bali show na mauzo ya mtandaoni kama miito ya simu,Youtube na mitandao ya streaming bila kusahau deal za makampuni mbalimbali.
Muziki wazamani ulishikiliwa na watu wachache Ila sasa muziki unashikiliwa na recording label kubwa, msanii as individual akitusua bila management kwanza ni ngumu pili kuna maslai yake mengi atakuwa anayakosa.
Label na management kubwa ndio future ya muziki wa bongo.
-Mwisho
#SanukaNaChapo
Credit: Ngomeni & The Bartender.
View attachment 2270725
Labda Billion ya Zimbabwe sio ya Tanzania tena kwa miaka ile, tupeni break sie,Nice amewahi kusema alikuwa na zaidi ya 1billion Tsh,Bank
Niliamini maana nimeshamsikia master Jay na p funk wanatoa ushuhuda wa pesa walizoona wasanii wakilipwa, na wasanii wenze pia mfano Soggy wamesimulia Maisha ya NiceLabda Billion ya Zimbabwe sio ya Tanzania tena kwa miaka ile, tupeni break sie,
Kwenye hii story yako kuna ukweli na Kuna uongo mwingi.
Nice kapiga hela nyingi sana Congo, Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya, ComoroLabda Billion ya Zimbabwe sio ya Tanzania tena kwa miaka ile, tupeni break sie,
Pesa wakati ule ilikuwepo bana,Mimi baba mkubwa wangu alikuwa anampa mkewe maburungutu ya pesa briefcase imejaa apeleke BankLabda Billion ya Zimbabwe sio ya Tanzania tena kwa miaka ile, tupeni break sie,
Bangi tu.Majani anawapa msosi huko msasani club anawapa bangi ndio anawapa hela washalewa.Walikuwa washamba sana hata wasemeje walipiga pesa mno ila ujinga ulikuwa mwingi sana vichwani mwao