Prof Jay: Ferooz akiwa wa moto sana alikuwa hagusiki yaani uvimbaji kama wote

Mbona wengi wenye mentality kama yangu walĺikamata, wamekamata na watakamata hela ndefu tu. Sasa hela bila ngono inafaida gani si ufe tu. Raha ya hela nikutandaza miti at will. Twenty four hours of massive and aggressive fakin.
Utavunjika kiuno
 
Daah wakaishia kwenye ubwiaji na kujiopolea ngwengwe na kipindi hiko ndo ukimwi uko hoooot
 
Ilikua kama miaka kadhaa nyuma aliazima akafanyie video. Ni kipindi hiki alichokua ameshapotea. Kuna video fulani alifanya na mdada kama ya mnanda sijui ndo chiriku. Kenge maji. Alikua anaringa sana. Tulimkata mitama
Inaitwa kama ndege mtini- by ferooz ft shazdear
 

Kwahiyo bro wako aligoma kufanya biashara kisa hamjasalimiwa na msanii?
 
Walikuwa washamba sana hata wasemeje walipiga pesa mno ila ujinga ulikuwa mwingi sana vichwani mwao
yaani acha; walikuwa ni washamba kazi yao ilikuwa ni kulewa, kungonoka, kuvuta bange na kubwia unga mwishowe wakageuka mateja... asilimia kubwa ya wasanii wazamani waligeuka mateja kwasabau ya ushamba na ulimbukeni wa maisha wakawa target ya wauza unga.... yani walijua kuwatajirisha wauza unga.. walivoanza kufulia wanaaza kulaumu na kujilalamisha mara ooh clouds inatubania mara oooh Ruge anatunyonya mara ooh jamaa anabeba watu wake, sasa mtu ushakuwa teja huna hit hata moja unataka nani abebane na wewe.. haya huyo Ruge amekufa na sasa hivi media house kubwa sio clouds tu sijui watamlaumu nani
 
Jeep aliipata 2004 baada ya kutoa starehe...inasemekana alizawadiwa na rais aliekua madarakan
 
Bahati??
Bahati... Ni kitu kinachochukua si Zaidi ya asilimia Moja kwenye maisha yetu. Maisha yetu yanaenda jinsi tulivyoyapanga na na juhudi zëtu huamua mafanikio yetu. Bahati ipo kila sehemu ila inachukua nafasi ndogo Sana. Diamond useme ni bahati Kuwa juu jibu ni hapana.
Kumbuka ni mengi amepitia hadi baadhi ya vyombo vilikuwa havipig nyimbo zake. Dogo ni hustler na fighter ndo kinachomuweka juu siku zotë si bahati
 
kuamini kwamba wasanii wengine hawakuwa na juhudi ni mtazamo wa ajabu mkuu.

kuamini kwamba wasanii wengine hawakuwa na mikakati sahihi ni mtazamo wa ajabu kabisa.

kuamini kwamba wasanii wengine hawakuwa na nidhamu ya pesa ni mtizamo wa ajabu.

tunasema ni bahati sababu mazingira na hatua kidogo tu matokeo yanakuwa makubwa,kizazi cha instagram na youtube useme unafungia mtu kutopiga nyimbo zake unajichanganya tu.
 
unajifariji tu .ukiwa na mwanamke mweusi unahisi Kama upo na mwanaume mwenzio mi hapana....mwanamke mweupe bwana mpaka unasisimka kabisa ....jiulize kwa nini hao weusi wako mbona wanajichubua Kama ni mzuri...
 
at least professor jay alikuwa na akili kwanza ndio msanii wa kwanza kupanga nyumba nzima maeneo ya kijitonyama karibu na krisco church...then akaja akajenga....but alikuwa analewa Sana so hela ilikuwepo hata mwana fa...naye akajiongeza kujisomesha...then akamuiga prof akapanga nyumba nzima maeneo ya uwanja wa Bora kijitonyama...na karibu na kituo Cha polisi mabatini...
 
Diamond nilisikia clip yake moja akisema wakati anaingia kwenye 'game' alikuta artists wanashindana kula bata, akawa anawaza kuwa aki-hit anataka kuwa mtu wa tofauti yaani badala ya kula bata awekeze kipato chake kwenye biashara. Alipobaini amekuwa 'brand' akaacha kuwa anaoneka hovyohovyo kama viwanji iwe either kwa ajili ya kufanya show au special appearances kwa malipo.
Ameibadilisha sana industry.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…