Prof Jay: Ferooz akiwa wa moto sana alikuwa hagusiki yaani uvimbaji kama wote

Prof Jay: Ferooz akiwa wa moto sana alikuwa hagusiki yaani uvimbaji kama wote

Mbona wengi wenye mentality kama yangu walĺikamata, wamekamata na watakamata hela ndefu tu. Sasa hela bila ngono inafaida gani si ufe tu. Raha ya hela nikutandaza miti at will. Twenty four hours of massive and aggressive fakin.
Utavunjika kiuno
 
Daah wakaishia kwenye ubwiaji na kujiopolea ngwengwe na kipindi hiko ndo ukimwi uko hoooot
 
Ilikua kama miaka kadhaa nyuma aliazima akafanyie video. Ni kipindi hiki alichokua ameshapotea. Kuna video fulani alifanya na mdada kama ya mnanda sijui ndo chiriku. Kenge maji. Alikua anaringa sana. Tulimkata mitama
Inaitwa kama ndege mtini- by ferooz ft shazdear
 
2003 huyo mtoto Feruz (miaka ile kuonana uso kwa macho na msanii hata wale wa mchiriku ilikuwa bonge moja la sifa) akiwa na Jeep yake dark blue akaja dukani kwa bro wangu Ilala wezi walikuwa wamempiga side mirror yake so akawa anatafuta.

Tulikuwa tumekaa nje kwenye bench kama watu saba hivi alipofika aka-park gari mbele yetu akashusha kioo nusu bila hata salamu akamtaka mwenye duka hakuna aliyemjibu na tulikuwa tunamkubali sana akamshusha mpambe wake mmoja akaulize moja kwa moja pale dukani bro akamrusha mshkaji amwambie “hatuuzi” ila alikuwa na akili mwisho akajua kosa lake akajirudi.

Siku zote hela zinapokuwa nyingi hasa kwa vijana wakikosa management nzuri hushindwa kuzi-control mwisho ndo kama hivi

Kwahiyo bro wako aligoma kufanya biashara kisa hamjasalimiwa na msanii?
 
Walikuwa washamba sana hata wasemeje walipiga pesa mno ila ujinga ulikuwa mwingi sana vichwani mwao
yaani acha; walikuwa ni washamba kazi yao ilikuwa ni kulewa, kungonoka, kuvuta bange na kubwia unga mwishowe wakageuka mateja... asilimia kubwa ya wasanii wazamani waligeuka mateja kwasabau ya ushamba na ulimbukeni wa maisha wakawa target ya wauza unga.... yani walijua kuwatajirisha wauza unga.. walivoanza kufulia wanaaza kulaumu na kujilalamisha mara ooh clouds inatubania mara oooh Ruge anatunyonya mara ooh jamaa anabeba watu wake, sasa mtu ushakuwa teja huna hit hata moja unataka nani abebane na wewe.. haya huyo Ruge amekufa na sasa hivi media house kubwa sio clouds tu sijui watamlaumu nani
 
2003 huyo mtoto Feruz (miaka ile kuonana uso kwa macho na msanii hata wale wa mchiriku ilikuwa bonge moja la sifa) akiwa na Jeep yake dark blue akaja dukani kwa bro wangu Ilala wezi walikuwa wamempiga side mirror yake so akawa anatafuta.

Tulikuwa tumekaa nje kwenye bench kama watu saba hivi alipofika aka-park gari mbele yetu akashusha kioo nusu bila hata salamu akamtaka mwenye duka hakuna aliyemjibu na tulikuwa tunamkubali sana akamshusha mpambe wake mmoja akaulize moja kwa moja pale dukani bro akamrusha mshkaji amwambie “hatuuzi” ila alikuwa na akili mwisho akajua kosa lake akajirudi.

Siku zote hela zinapokuwa nyingi hasa kwa vijana wakikosa management nzuri hushindwa kuzi-control mwisho ndo kama hivi
Jeep aliipata 2004 baada ya kutoa starehe...inasemekana alizawadiwa na rais aliekua madarakan
 
Bahati??
msanii kufanikiwa haimaanishi apendwe na kila mtu.ukimpenda wewe inatosha kaka.
alichofanya mond sio cha kwanza tz au duniani mpaka useme kila mtu anamwiga yeye,kiba kaoa,mond kaoa lini kwa ndoa???
katika maisha kuna juhudi halafu kuna bahati,ukiwa mpumbavu utameona mond ni mtu mwenye akili sana kumbe ana bahati.mwaka wa 12 yuko peak kwenye game huwezi sema ni juhudi au akili mingi.
hakuna asiyependa kuwika muda wote,ila unafanya nini ili iwe hivyo hiyo ni bahati kijana.
Bahati... Ni kitu kinachochukua si Zaidi ya asilimia Moja kwenye maisha yetu. Maisha yetu yanaenda jinsi tulivyoyapanga na na juhudi zëtu huamua mafanikio yetu. Bahati ipo kila sehemu ila inachukua nafasi ndogo Sana. Diamond useme ni bahati Kuwa juu jibu ni hapana.
Kumbuka ni mengi amepitia hadi baadhi ya vyombo vilikuwa havipig nyimbo zake. Dogo ni hustler na fighter ndo kinachomuweka juu siku zotë si bahati
 
Bahati??

Bahati... Ni kitu kinachochukua si Zaidi ya asilimia Moja kwenye maisha yetu. Maisha yetu yanaenda jinsi tulivyoyapanga na na juhudi zëtu huamua mafanikio yetu. Bahati ipo kila sehemu ila inachukua nafasi ndogo Sana. Diamond useme ni bahati Kuwa juu jibu ni hapana.
Kumbuka ni mengi amepitia hadi baadhi ya vyombo vilikuwa havipig nyimbo zake. Dogo ni hustler na fighter ndo kinachomuweka juu siku zotë si bahati
kuamini kwamba wasanii wengine hawakuwa na juhudi ni mtazamo wa ajabu mkuu.

kuamini kwamba wasanii wengine hawakuwa na mikakati sahihi ni mtazamo wa ajabu kabisa.

kuamini kwamba wasanii wengine hawakuwa na nidhamu ya pesa ni mtizamo wa ajabu.

tunasema ni bahati sababu mazingira na hatua kidogo tu matokeo yanakuwa makubwa,kizazi cha instagram na youtube useme unafungia mtu kutopiga nyimbo zake unajichanganya tu.
 
unajifariji tu .ukiwa na mwanamke mweusi unahisi Kama upo na mwanaume mwenzio mi hapana....mwanamke mweupe bwana mpaka unasisimka kabisa ....jiulize kwa nini hao weusi wako mbona wanajichubua Kama ni mzuri...
 
at least professor jay alikuwa na akili kwanza ndio msanii wa kwanza kupanga nyumba nzima maeneo ya kijitonyama karibu na krisco church...then akaja akajenga....but alikuwa analewa Sana so hela ilikuwepo hata mwana fa...naye akajiongeza kujisomesha...then akamuiga prof akapanga nyumba nzima maeneo ya uwanja wa Bora kijitonyama...na karibu na kituo Cha polisi mabatini...
 
Hapo ndo ujue kumtofautisha Nasib na wengine, platform aloikuta ilikuwa ni ileile, Mr Nice kafatana na akina Blue, Kiba, Top Band na wengine wote then ndo akaingia Nasib, juhudi binafsi, kujishusha, nidhamu ya kazi na pesa kumemfanya alete transformation kubwa kwenye game.

Hao wote msompenda na kuwasifia leo hii hakuna kipya wanachokifanya isipokuwa wanafanya kuegeza kwa Nasib ili tu wazungumzwe na mpaka wanashtuka na kuanza kufanya wanajikuta mwenzao aliyafanya hayo miaka 5, 6 ilopita (kitu ambacho ni kizuri), wanayafanya hayo huku WAKUSAIDIWA NA HUJUMA KUBWA ANAYOFANYIWA DIAMOND, ukitoa Wasafi FM, hakuna radio station ilikuwa inapiga song za Diamond, RFA usiku kucha walikuwa wakipiga nyimbo za Harmonize na Ali Kiba hata 20 hadi wiki mbili tatu majuzi ndo utasikia angalau song moja ya Diamond, hii haifanyiki kwa bahati mbaya vivyo hivyo kwa sehemu za starehe, (mambo haya sio sawa), sababu za kupambana kumshusha wanazijua wenye nguvu na asipokuwa makini watafanikiwa.
Diamond nilisikia clip yake moja akisema wakati anaingia kwenye 'game' alikuta artists wanashindana kula bata, akawa anawaza kuwa aki-hit anataka kuwa mtu wa tofauti yaani badala ya kula bata awekeze kipato chake kwenye biashara. Alipobaini amekuwa 'brand' akaacha kuwa anaoneka hovyohovyo kama viwanji iwe either kwa ajili ya kufanya show au special appearances kwa malipo.
Ameibadilisha sana industry.
 
Back
Top Bottom