Hivi ni kwa nini mnamchukia sana P.Kabudi? Kwanza Wizara yake haina uhusiano wowote wa moja kwa moja na Upinzani sasa hii chuki inatokea wapi kwake? I mean mnamchukia Kabudi klk Waziri wa mambo ya ndani anakataza mikutano yenu, kwa nini? Kawakosea nini? Au ni Wivu tuu?
Yeye ni sehemu muhimu ya udhalimu unaoendeshwa na jiwe hapa nchni. Isitoshe yeye ni mfano halisi wa viongozi wanafiki ndani ya awamu hii. Hao wakenya wanatujua ndani nje na wanajua sisi watanzania ni wanafiki, makondoo na ni maiti hai. Simply Kabudi kwao ilikuwa ni kinyaa.
Kwa nini walimwalika? Nijuavyo ndo foreigner pekee aliyepewa nafasi ya kuongea, labda kuna wengine sijui lakini, isitoshe aliongea na kutoa maoni yake kama yeye, wewe ulitaka aseme nini labda mazingira kama yale?
Badala ya kuwaponda wakenya alitakiwa kuwapongeza kwa kuwa mfano wa kuigwa Africa na Tanzania pia.
Sababu ni msomi na ni mwanaserikali ya Rais Magufuli.Hivi ni kwa nini mnamchukia sana P.Kabudi? Kwanza Wizara yake haina uhusiano wowote wa moja kwa moja na Upinzani sasa hii chuki kwake inatokea wapi? I mean, mnamchukia Kabudi klk hata Waziri wa mambo ya ndani anayekataza mikutano yenu, kwa nini? Kawakosea nini? Au ni Wivu tuu?
Nani kafurahishwa.. kama sio wana ccm kama.weww
Hayo ni maoni ya mtu just the way wewe ulivyoipokeaSoma hioooooooView attachment 1274648
Kwanza Prof Kabudi alikaa meza kuu pamoja na Rais Uhuru, DP Ruto, Waziri mkuu mstaafu Raila na Prof Hajji Mwenyekiti wa BBILakini wao Wakenya walipenda alivyoongea, hata ukisoma comments za Wakenya social media wamefurahishwa, sasa shida iko wapi kwako?
Kwa nini walimwalika kama wanamwona hivyo? Nijuavyo ndo foreigner pekee aliyepewa nafasi ya kuongea, labda kuna wengine sijui lakini, isitoshe aliongea na kutoa maoni yake kama yeye, wewe ulitaka aseme nini labda mazingira kama yale? Ulitaka aongelee Siasa zenu?
Huyo Ledama na zile nywele zake asizochana ameongelea uchochoroni kwa uoga!Soma hii.. mwenyewe ni mnafiki kama prof jalalaniView attachment 1274653
Ngoja tumpeleke tanisemi ama mambo ya ndaniHivi ni kwa nini mnamchukia sana P.Kabudi? Kwanza Wizara yake haina uhusiano wowote wa moja kwa moja na Upinzani sasa hii chuki kwake inatokea wapi? I mean, mnamchukia Kabudi klk hata Waziri wa mambo ya ndani anayekataza mikutano yenu, kwa nini? Kawakosea nini? Au ni Wivu tuu?
Watanzania hawajajitoa ufahamu kama wewe na wenzio wanafiki.Usitufanye wote manyumbu kama mlivyo chadema!
Kabudi katoa speach nzuri sana ambayo kila mtu aliyekuwepo ukumbini kashangilia, hata BBC jioni hii wamemtaja kwa hotuba yake nzuri.
Mkapa alikuwa sahihi sana alivyo waita malofa