Kauli zake mbovu za kujimwambafai ndo zinamfanya achukiwe kila kona ! Ukiwa na maslahi naye haya yanayosemwa juu yake utabaki kushangaa
Hivi ni kwa nini mnamchukia sana P.Kabudi? Kwanza Wizara yake haina uhusiano wowote wa moja kwa moja na Upinzani sasa hii chuki kwake inatokea wapi? I mean, mnamchukia Kabudi klk hata Waziri wa mambo ya ndani anayekataza mikutano yenu, kwa nini? Kawakosea nini? Au ni Wivu tuu?