Prof. Kabudi ataka Elimu ya Biblia itolewe shuleni kuanzia Chekechea hadi Sekondari na Biblia zigawiwe Bure ili kulinda Maadili

Prof. Kabudi ataka Elimu ya Biblia itolewe shuleni kuanzia Chekechea hadi Sekondari na Biblia zigawiwe Bure ili kulinda Maadili

mimi nimesoma hivyo hivyo, tangu kidato cha kwanza hadi cha nne...bible knowledge lazima kusoma kwa kila mtu alafu kila baada ya miezi sita tulikuwa tunagawiwa biblia mpya..ya kiswahili na kiingereza kila mtu. Full upendo yaani
bible knowledge hakya mungu nlilipenda somo hilo,mwalimu gimbagu why ulihama shule mapema ungali bado tulikuhtaji?
 
Elimu ya biblia sio muhimu, muhimu ni elimu ya philosophy. Huku ulaya vijana wa sekondari wanachagua dini au philosophy. Wengi wao anachagua philosophy unakuta kijana mdogo unaweza kumpa majukumu kama manager na aka- meet projections. Aisee kuna dogo nimekutana nao wamezaliwa 2006 ni mameneja wa vitengo BMW, AUDI na OTTO aisee. Vijana wa nje ya ujerumani hawajiamini na hawasimamii misimamo yao na hawawezi kufanya maamuzi magumu. Mimi niliwatetea lakini mwisho wa siku nikaweka mikono juu. Mpaka ninatamani mwanangu aje aaanzie maisha huku.
Was geht ab.

Wohnen sie in Deutschland?
 
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi ametaka Elimu ya Biblia iingizwe Kwenye mitaala ya kuanzia Chekechea hadi Sekondari

Prof Kabudi amesema zitengwe fedha za kuchapisha Biblia Ili zigawiwe Bure Kwa wanafunzi Katika Jitihada za kulinda Maadili yanayoporomoka

Kabudi amesema hayo kwenye Ibadan ya kumuweka wakfu askofu Mbwaga wa Kanisa la Baptist

Source Mwananchi

Mlale Unono

Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Unaona maajabu ya viongozi wa Tanzania, huyu ni Profesa anakuja na hoja hizi za hajabu. Sasa biblia ina maadili gani mema? Maadili mema watoto wanafundishwa nyumbani kwao na makabila yao kwani kila kabila lina maadili yake.
 
Elimu ya biblia sio muhimu, muhimu ni elimu ya philosophy. Huku ulaya vijana wa sekondari wanachagua dini au philosophy. Wengi wao anachagua philosophy unakuta kijana mdogo unaweza kumpa majukumu kama manager na aka- meet projections. Aisee kuna dogo nimekutana nao wamezaliwa 2006 ni mameneja wa vitengo BMW, AUDI na OTTO aisee. Vijana wa nje ya ujerumani hawajiamini na hawasimamii misimamo yao na hawawezi kufanya maamuzi magumu. Mimi niliwatetea lakini mwisho wa siku nikaweka mikono juu. Mpaka ninatamani mwanangu aje aaanzie maisha huku.
Ukitaka kucheka mpeleke Profesa kutoka Tanzania huko na umpe majukumu ya usimamizi kama hujamkuta analia kajifungia chumbani, kisa hajuwi afanye nini. Hii elimu ya kukariri kwa kweli imeharibu sana watanzania, unakuta mtu anakariri mpaka maisha yake.
 
Majibu mepesi kwa complex problem kama kawaida ya wasomi wa kibongo! So biblia ndo zitajenga maadili? Kwanza maadili ni kitu gani kadefine?
 
Sijawahi kuona chawa na jinga kama hili profedheha. Kesho atakuja mwingine naye adai Quran zigawiwe mashuleni na vichekechea vichakachuliwe kuwa magaidi siyo? Hili jinga lingejua kuwa hawa wanaojidai kuamini kwenye hizi dini nyemelezi ndiyo mabingwa wa ufuska, wizi, na uchafu mwingine kijamii, lingenyamaza. What a curse of salvation! Kama jisomi linapokoma hivi, hao wasioona darasa watapayukaje? Nadhani huyu ni gaidi wa kikristo.
 
Maadili yameandikwa kwenye biblia?

Amri kumi za Mungu?

1. Usiue

2. Usijambe

3. Usibomoe mbunye

4. Usibomoe vinyeo

5. Muheshimu samia

6. Toa sadaka kwa mwamposa

7. Usinyonye hogo

8. Muheshimu kadinali Pengo

9. Usiendeshe vieite

10. Msikilize Mbowe

Cc: Nyani Ngabu DR Mambo Jambo Lucas Mwashambwa chiembe ChoiceVariable Lloyd Munroe Yohimbe bark Mzee wa kupambania gallow bird Mbaga Jr Lamomy Poor Brain min -me Tlaatlaah
Ujue Mungu hadhihakiwi ulichoandika siyo kuwadhihaki na kuwatukana wakristo badala yake unamtukana na kumdhihaki Allah kwenu nyie waislam kwetu sisi wakristo Jehova jirekebishe kabla baya halijakukuta zaidi ya mabaya mengine mengi yalowakuta watu waliocheza na Mungu na Amri zake kama wewe Mungu akurehemu kwa wingi wa Fadhila zake Asante.
 
Wanabishana kwenye dini na kujiona wako sahihi
ni kosa k kubishana katika dini kama huna elimu nayo
Ndio maana Niko kimya
 
MALEZI MALEZI MALEZI, watu wagawiwe mitaji wapate pesa za kuwahudumia watoto wao.

UMASKINI UTATUMALIZA TANZANIA.
 
Ukitaka kucheka mpeleke Profesa kutoka Tanzania huko na umpe majukumu ya usimamizi kama hujamkuta analia kajifungia chumbani, kisa hajuwi afanye nini. Hii elimu ya kukariri kwa kweli imeharibu sana watanzania, unakuta mtu anakariri mpaka maisha yake.
Aisee unakutana na vijana kazini wanavyojituma na kufanya kazi yako kuwa rahisi mpaka machozi ya furaha yananitoka. Yaani kila mtu anajua majukumu yake na yupo serious na kazi yake. Aisee na wanawaheshimu walio wazidi experience.
 
Back
Top Bottom