johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Inafundisha Maadili?Wagawe na quran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inafundisha Maadili?Wagawe na quran
Ziweke hapa tuzijadili, la msingi usiwe umeweka ulanziAmri 3 za Mwanzo ndio uhusiano wako na Mungu 😄
Amri ya 4 imebeba Ahadi
Amri 6 Uhusiano wako na Jirani
NdioInafundisha Maadili?
bible knowledge hakya mungu nlilipenda somo hilo,mwalimu gimbagu why ulihama shule mapema ungali bado tulikuhtaji?mimi nimesoma hivyo hivyo, tangu kidato cha kwanza hadi cha nne...bible knowledge lazima kusoma kwa kila mtu alafu kila baada ya miezi sita tulikuwa tunagawiwa biblia mpya..ya kiswahili na kiingereza kila mtu. Full upendo yaani
Was geht ab.Elimu ya biblia sio muhimu, muhimu ni elimu ya philosophy. Huku ulaya vijana wa sekondari wanachagua dini au philosophy. Wengi wao anachagua philosophy unakuta kijana mdogo unaweza kumpa majukumu kama manager na aka- meet projections. Aisee kuna dogo nimekutana nao wamezaliwa 2006 ni mameneja wa vitengo BMW, AUDI na OTTO aisee. Vijana wa nje ya ujerumani hawajiamini na hawasimamii misimamo yao na hawawezi kufanya maamuzi magumu. Mimi niliwatetea lakini mwisho wa siku nikaweka mikono juu. Mpaka ninatamani mwanangu aje aaanzie maisha huku.
Mungu akusameheMaadili yameandikwa kwenye biblia?
Amri kumi za Mungu?
1. Usiue
2. Usijambe
3. Usibomoe mbunye
4. Usibomoe vinyeo
5. Muheshimu samia
6. Toa sadaka kwa mwamposa
7. Usinyonye hogo
8. Muheshimu kadinali Pengo
9. Usiendeshe vieite
10. Msikilize Mbowe
Cc: Nyani Ngabu DR Mambo Jambo Lucas Mwashambwa chiembe ChoiceVariable Lloyd Munroe Yohimbe bark Mzee wa kupambania gallow bird Mbaga Jr Lamomy Poor Brain min -me Tlaatlaah
Es geht mir Gut.Ja, ich wohne in Ingolstadt zwischen München und NürnbergWas geht ab.
Wohnen sie in Deutschland?
Yuko SahihiProf. Kabudi, kabugi.
Unaona maajabu ya viongozi wa Tanzania, huyu ni Profesa anakuja na hoja hizi za hajabu. Sasa biblia ina maadili gani mema? Maadili mema watoto wanafundishwa nyumbani kwao na makabila yao kwani kila kabila lina maadili yake.Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi ametaka Elimu ya Biblia iingizwe Kwenye mitaala ya kuanzia Chekechea hadi Sekondari
Prof Kabudi amesema zitengwe fedha za kuchapisha Biblia Ili zigawiwe Bure Kwa wanafunzi Katika Jitihada za kulinda Maadili yanayoporomoka
Kabudi amesema hayo kwenye Ibadan ya kumuweka wakfu askofu Mbwaga wa Kanisa la Baptist
Source Mwananchi
Mlale Unono
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Hapo ndipo wanafunzi wengi watakuwa vichaa kwa kusomeana albadr na kutupiana majini mashuleni mwishowe tutakuwa na taifa la vilaza kama Comoros.Wagawe na quran
Ukitaka kucheka mpeleke Profesa kutoka Tanzania huko na umpe majukumu ya usimamizi kama hujamkuta analia kajifungia chumbani, kisa hajuwi afanye nini. Hii elimu ya kukariri kwa kweli imeharibu sana watanzania, unakuta mtu anakariri mpaka maisha yake.Elimu ya biblia sio muhimu, muhimu ni elimu ya philosophy. Huku ulaya vijana wa sekondari wanachagua dini au philosophy. Wengi wao anachagua philosophy unakuta kijana mdogo unaweza kumpa majukumu kama manager na aka- meet projections. Aisee kuna dogo nimekutana nao wamezaliwa 2006 ni mameneja wa vitengo BMW, AUDI na OTTO aisee. Vijana wa nje ya ujerumani hawajiamini na hawasimamii misimamo yao na hawawezi kufanya maamuzi magumu. Mimi niliwatetea lakini mwisho wa siku nikaweka mikono juu. Mpaka ninatamani mwanangu aje aaanzie maisha huku.
Au sio!! Na Qurani jee?Biblia ni Kwa watu wote
Quran kwa WaislamuAu sio!! Na Qurani jee?
Ujue Mungu hadhihakiwi ulichoandika siyo kuwadhihaki na kuwatukana wakristo badala yake unamtukana na kumdhihaki Allah kwenu nyie waislam kwetu sisi wakristo Jehova jirekebishe kabla baya halijakukuta zaidi ya mabaya mengine mengi yalowakuta watu waliocheza na Mungu na Amri zake kama wewe Mungu akurehemu kwa wingi wa Fadhila zake Asante.Maadili yameandikwa kwenye biblia?
Amri kumi za Mungu?
1. Usiue
2. Usijambe
3. Usibomoe mbunye
4. Usibomoe vinyeo
5. Muheshimu samia
6. Toa sadaka kwa mwamposa
7. Usinyonye hogo
8. Muheshimu kadinali Pengo
9. Usiendeshe vieite
10. Msikilize Mbowe
Cc: Nyani Ngabu DR Mambo Jambo Lucas Mwashambwa chiembe ChoiceVariable Lloyd Munroe Yohimbe bark Mzee wa kupambania gallow bird Mbaga Jr Lamomy Poor Brain min -me Tlaatlaah
Aisee unakutana na vijana kazini wanavyojituma na kufanya kazi yako kuwa rahisi mpaka machozi ya furaha yananitoka. Yaani kila mtu anajua majukumu yake na yupo serious na kazi yake. Aisee na wanawaheshimu walio wazidi experience.Ukitaka kucheka mpeleke Profesa kutoka Tanzania huko na umpe majukumu ya usimamizi kama hujamkuta analia kajifungia chumbani, kisa hajuwi afanye nini. Hii elimu ya kukariri kwa kweli imeharibu sana watanzania, unakuta mtu anakariri mpaka maisha yake.