Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Hii nchi sio ya kidini mbona Prof. ameanza kujisahau tena?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaacha kutoa elimu ya fedha unatoa elimu ya takataka?Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi ametaka Elimu ya Biblia iingizwe Kwenye mitaala ya kuanzia Chekechea hadi Sekondari
Prof Kabudi amesema zitengwe fedha za kuchapisha Biblia Ili zigawiwe Bure Kwa wanafunzi Katika Jitihada za kulinda Maadili yanayoporomoka
Kabudi amesema hayo kwenye Ibadan ya kumuweka wakfu askofu Mbwaga wa Kanisa la Baptist
Source Mwananchi
Mlale Unono
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Ngoja tukumbushane kidogo sakata la Mkombozi Bank alafu tujue pakuendelea 😂😂Majibu mepesi kwa complex problem kama kawaida ya wasomi wa kibongo! So biblia ndo zitajenga maadili? Kwanza maadili ni kitu gani kadefine?
Hapo ndipo wanafunzi wengi watakuwa vichaa kwa kusomeana albadr na kutupiana majini mashuleni mwishowe tutakuwa na taifa la vilaza kama Comoros.
Huyo ni Muislam kwani?kwenu nyie waislam
Hahhaha nilikuwa nazivutia bangi kipindi hicho nipo shule moja hivi tukishuka jumamosi bondeni misokoto ya kutoshamimi nimesoma hivyo hivyo, tangu kidato cha kwanza hadi cha nne...bible knowledge lazima kusoma kwa kila mtu alafu kila baada ya miezi sita tulikuwa tunagawiwa biblia mpya..ya kiswahili na kiingereza kila mtu. Full upendo yaani
UPorofesa unakaribia kuisha muda wake wa matumizi! Mwenye kunielewa anielewe!!Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi ametaka Elimu ya Biblia iingizwe Kwenye mitaala ya kuanzia Chekechea hadi Sekondari
Prof Kabudi amesema zitengwe fedha za kuchapisha Biblia Ili zigawiwe Bure Kwa wanafunzi Katika Jitihada za kulinda Maadili yanayoporomoka
Kabudi amesema hayo kwenye Ibadan ya kumuweka wakfu askofu Mbwaga wa Kanisa la Baptist
Source Mwananchi
Mlale Unono
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Naomba uniambie nimekashifu wapiKulikuwa na ulazima wa kuukashifu Uislam?
Jukumu la kufundisha maadili ni wazazi hayo mambo mengine mbwembwe tuni muhimu mno elimu hiyo ikatolewa huko huko makanisani kwa wenye imani hiyo pamoja na biblia bure, nadhani itapendeza zaidi na kuepusha usumbufu kwa wasio husika 🐒
Nilidhani atatoa hoja ya kufutwa MOU yeye kama waziri wa sheriaWaziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi ametaka Elimu ya Biblia iingizwe Kwenye mitaala ya kuanzia Chekechea hadi Sekondari
Prof Kabudi amesema zitengwe fedha za kuchapisha Biblia Ili zigawiwe Bure Kwa wanafunzi Katika Jitihada za kulinda Maadili yanayoporomoka
Kabudi amesema hayo kwenye Ibadan ya kumuweka wakfu askofu Mbwaga wa Kanisa la Baptist
Source Mwananchi
Mlale Unono
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹