S.M.P2503
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 2,421
- 4,344
Sijatumwa, lakini ikikupendeza,
Hawa watu waweke kwemye serikali yako. Wataiva tu pamoja, hata kama wana itikadi tofauti.
tuletee watu wa kutupeleka mbele hata kama wanatofautiano kimtizamo.
Chonde chonde, mrudishe huyu mwanazuoni huko serikalini, amekaa bench muda mrefu na ana madini ya kutosha kwa nchi na kwenye baraza lako la mawaziri. Tundu Lissu pia, bila kujali ni chadema, fanya juu chini, muweke serikalini ana mambo mazuri, malumbano yamekuwa mengi, muweke aje kuwa sehemu ya suluhisho sio kila siku ngangara ngarara...na wewe anakuheshimu sana maana hata kule Nairobi ulienda kumuona, hata kataa ukimulika kwenye serikali yako kama kweli ana nia njema ya kuwatumikia watanzania wote bila kujali vyama vyao.
Kwa jinsi ile ile Mtoto wako Paul Bashite Christian Makonda alivyokuombea kule kwenye Bunge la katiba, nami leo nakuja kwa style ile ile. Huyu professor Kabudi na Tundu Lissu usiwaache kwa mustakabari wa nchi yetu.
Nguchiro, mchwa wanaishi ndani na kichuguu bila mkwaruzano.
Mapovu ruksa, mimi sina chama na nawaangalia hawa wawili toka nje ya boksi pamoja na madhaifu ya hapa na pale na ambayo ni ya kibinaadam , chonde chonde Mama, walete waje kusaidia mambo ya nchi yetu. umewaficha sana. Watoe mtondo goo, nchi isonge kwa style ya Mchwa na Nguchiro ndani ya kichuguu.
Walete bila hiyana.
Hawa watu waweke kwemye serikali yako. Wataiva tu pamoja, hata kama wana itikadi tofauti.
tuletee watu wa kutupeleka mbele hata kama wanatofautiano kimtizamo.
Chonde chonde, mrudishe huyu mwanazuoni huko serikalini, amekaa bench muda mrefu na ana madini ya kutosha kwa nchi na kwenye baraza lako la mawaziri. Tundu Lissu pia, bila kujali ni chadema, fanya juu chini, muweke serikalini ana mambo mazuri, malumbano yamekuwa mengi, muweke aje kuwa sehemu ya suluhisho sio kila siku ngangara ngarara...na wewe anakuheshimu sana maana hata kule Nairobi ulienda kumuona, hata kataa ukimulika kwenye serikali yako kama kweli ana nia njema ya kuwatumikia watanzania wote bila kujali vyama vyao.
Kwa jinsi ile ile Mtoto wako Paul Bashite Christian Makonda alivyokuombea kule kwenye Bunge la katiba, nami leo nakuja kwa style ile ile. Huyu professor Kabudi na Tundu Lissu usiwaache kwa mustakabari wa nchi yetu.
Nguchiro, mchwa wanaishi ndani na kichuguu bila mkwaruzano.
Mapovu ruksa, mimi sina chama na nawaangalia hawa wawili toka nje ya boksi pamoja na madhaifu ya hapa na pale na ambayo ni ya kibinaadam , chonde chonde Mama, walete waje kusaidia mambo ya nchi yetu. umewaficha sana. Watoe mtondo goo, nchi isonge kwa style ya Mchwa na Nguchiro ndani ya kichuguu.
Walete bila hiyana.