Prof. Kabudi nachelea kukuamini kama kweli mlishinda kesi Afrika ya Kusini, tusipende kuona uongo kuwa sehemu kubwa ya siasa za Tanzania

Exactly, tatizo watanzania ni wasahulifu na ndo mtaji wa wanasiasa
 
Ndugu; hilo neno "hila" ulikusudia kulitumia au umekosea?
Yap nilikusudia kesi zingine inategemea sheria ya nchi inasemaje kwanza, kama sheria inasema hilo swala litaamuliwa domestically tu mahakama za kimataifa aziwezi sikiliza hizo kesi (its like a term implied by law into a contract).

Unless

Ndio maana wawekezaji kukwepa huo mtego kwenye mkataba kunakuwa na ‘stabilisation clauses’ moja ya elements zake ni makubaliano baina ya serikari na mwekezaji sheria tata au mpya zenye kukikangana na masharti ya awali hazihusiki na maelewano kesi itasikilizwa wapi, kwa sheria/kanuni zipi ata kama hiyo nchi husika Tanzania aina makubaliano nayo mengine.
 
Kabla hatujafika huko kote mkuu hebu tuambie kwanza,
MKULIMA ANATUDAI AU HATUDAI...??
Ili kama tunakasirika tujue tunakasirika kwa ishu yenye mashiko.
Toka lini mzungu akatudai sisi kwa kumpa fidia kwa ardhi yetu? Unajua hiyo ardhi aliipataje? Unajua jinsi gani alipata mamlaka ya kuitumia hiyo ardhi? Aliinunua hiyo ardhi kutoka kwa Mwalim Nyerere?

Naomba jiulize wewe mwenyewe kama kuna mwafrika amesha ishtaki serikali yoyote ile ya nchi ya Ulaya kwa kutuuza sisi Amerika kama gunia la mihogo? Ukilitambua hilo njoo tena na uniulize tena kama huyo mkulima anatudai au hatudai.

Watu kama nyie sielewi kwa nini mnang'ang'ania kuishi Tanzania kama hamwipendi hii nchi. Kama una shindwa kutoka Tanzania na kuchukua uraia wa nchi nyingine niambie nikusaidie. Lakini waachie watanzania nchi yao. Wewe nenda kaishi huko unako fikiria niger kama wewe watakuthamini.
 
Endelea kumwingiza chaka na wewe ndio adui no wa rais wetu na nchi yetu kuanza kufikiria kuwaua wengine kwa sababu yoyote ni mwanzo wa kaburi lako mwenyewe hautawaweza wote kama wenye mamlaka ni ukoo wa farao endeleeni kujitia upofu
 
By Faustine Kapama
 
Hawa ndio wabongo siku zote wanafanana na mbuzi aliyemuona chatu mbele ya macho yake. Wanajipeleka wenyewe kwenye makali ya kisu.

Kwa akili hizi mzungu wala hakupata taabu kumtawala mtu mweusi.
 
Kilatha,
Walisema ndege inatumiwa na rais ndiyo point waliyoenda nayo ndiyo serekali ikashinda acha upotishaji kwamba walishinda kesi
Wewe ndio mpotoshaji. Waliambiwa madai yao waje wayafungue Tanzania na sio South Africa.

Kuna kitu kinaitwa international private laws hizi ni sheria zenye kutofautiana kati ya nchi moja na nyingine.
 
Wewe ndio mpotoshaji. Waliambiwa madai yao waje wayafungue Tanzania na sio South Africa.

Kuna kitu kinaitwa international private laws hizi ni sheria zenye kutofautiana kati ya nchi moja na nyingine.
Sio kweli serekali ilienda south afrika kukomboa ndege na sio kushinda kesi

Ndo maana walisema ndege inatumiwa na rais
 


Ooh! My....! Unaelewa lakini wewe, kwa kiswahili chepesi mkulima anajaribu kukazia hukumu. Yaani kwa sababu mdaiwa wake amegoma kumlipa, anaomba nguvu ya kimahakama kuamuru mali za mdaiwa wake zikamatwe na ikibidi ziuzwe ili kufidia deni. Amepeleka hukumu mahakamani ili itekelezwe kwa nguvu.

Jitahidini kuwa mnaelewa jambo kwanza kabla kuandika vihoja kwa mihemko isiyokuwa na sababu
 
Kila kitu kilikuwa wazi siku ndege imeachiwa mahakama ya S.A ilisema hawana jurisdiction. Sasa kama hiyo ndio tafsiri ya kushinda hilo ni swala lingine.
"Kila kitu kilikuwa wazi" kwa nani?
WaTanzania hawawezi kusikilza habari za Mahakama ya Afrika Kusini, wakaacha kuamini waliyoambiwa na serikali yao yenyewe, hapa hapa nyumbani; kwamba "walishinda Kesi" na ndege ikaachiwa na kurudi nyumbani.

Hiyo ndio hoja hapa na sio "kila kitu kuwa wazi."
 
Hii mikataba mnayoiongelea ndyo juzi niliona magufuli anahama nayo kuelekea dodoma huku ikiwa imewekwa kwenye maximum security vehicle. Yani zile gar za kusafirishia pesa.
 
Duu mkuu Sisi wakulima wa korosho na ufuta ntwara tunaswali baa
 

Kwako wewe neno "hila" lina maana gani?
 


Wewe ni kiazi kweli kweli , Mange na Lisu wanausika vipi
 
How old are you??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…