Kwanza naomba niombe radhi kwa balozi wa Canada nchini Tanzania kama kweli ulimuita na kumzungumzia yale uliyozungumza leo.
Pili siamini kama hujui kuwa kuna tofauti kubwa kati ya Marekani na Canada kwani Canada yupo jumuiya ya madola wakati Marekani haipo.
Sasa basi, tuje kwenye hoja ya mkulima kufungua kesi kule Afrika ya kusini na hatimaye akakamata ile Air bus. Sijui mawakili wako wa serikali walienda kule kuzungumza nini kwani inaonekana dhahiri kuwa mkulima huyu ana hoja kwenye madai yake ya USD 33 million. Na dalili za wazi zinaonyesha kuwa mkulima huyu alishinda kesi hiyo.
Ni kwa maana hiyo basi mkulima ametumia moja ya kipengele muhimu sana kwenye mkataba wa jumuiya ya madola ambacho kinatoa uhuru wa hukumu iliyoamuliwa na mahakama moja ya nchi mwanachama kutumika kwenye nchi yoyote ile mwanachama ndani ya jumuiya ya madola. Afrika kusini ni mwanachama wa jumuiya ya madola kama walivyo Tanzania na Canada. Sasa hoja ifuatayo inanifanya nimuone Kabudi kama muongo wa kutupwa na kweli nimeendelea kumshushia heshima kama ambavyo nimefanya hivyo hapo kabla.
1. Kama serikali kweli ilishinda kesi huko Afrika kusini, mkulima huyu ametumia hukumu ipi kwenda kuzuia ndege Canada? Ikumbukwe kuwa asingeweza kuzuia ndege pasipo hukumu halali ya kimahakama, hukumu ambayo mnadai mlimshinda na akakata rufaa mkamshinda tena.
Ninaamini kuwa kwa Canada mkulima huyu anaenda kupata haki yake pasipo ubabaishaji wowote ule. Naipongeza Canada kwa kufuata kikamilifu mkataba wa jumuiya ya madola. Kupitia nchi za aina hii wengi wetu tunapona dhidi ya ukandamizaji wa mabeberu weusi ambao wanaua mamlaka zingine ili wasisumbuke.
Aidha Tundu Lissu alishatushauri kama kweli tunataka kuwa kama tunavyotaka basi tujiondoe kwenye mikataba yote ya kimataifa ikiwemo jumuiya ya madola. Otherwise tutaendelea kunyolewa. Na naamini tukijiondoa basi tutaumia zaidi.
Nilikuwa sijawaza kuwa na roho mbaya zidi ya watanzania wanao wata kutuhujumu, kwa haya ya leo nimetamani Rais Wetu kuwa dekteta kweli. Hiyo ni huruma yake Rais Magufuli ndiyo inayo msuta.
Naomba hao wahaini watakapo julikana ni kuwafanyika kimoja tu, Process fupi! Kuwakamata na kuwaua mara moja bila kupoteza mda wa kuwafubgulia mashtaka.
Nina uhakika yule mzee mkulima hana lengo la kuihujumu Tanzania, wata kuwa hao hao wana sheria wetu na baadhi ya watumishi wa serikali ndiyo wanao kazania kuturudisha nyuma kama kisasi cha kushindwa kutuibia kama walivyo zoea kama zamani.
Rais Magufuli hauko salama wewe. Kwa hali hii utakuwa umezungukwa na watu ambao mda wowote wakitaka wanaweza waka kudhuru. Una walea wewe mwenyewe!
Huruma yako ya kutaka kupendwa na kila mtanzania ndiyo inayo kusuta. Baadhi yetu hawatakupenda hata mara moja. Na ndiyo hao kama waziri Proff. Kabudi alivyo sema; "hawalali wana kesha kutafuta njia za kuturudisha nyuma". Nina uhakika watu hawa wakishindwa kabisa. Wanaweza wakabaki na Option moja tu, nayo ni kusaka uhai wako!!
Acheni huruma za kitanzania hazita saidia kitu. Hao watu ni kuwamaliza tu punde mnapo wabaini. Hao sio binadam wenzetu ni wanyama. Na kwa wanyama lazima tutumie "methodes of the jungle" kuwadhibiti!
Mimi sioni shida watu kama akina Lissu, Mange Kimabi na wengineo ambao wako nje kuwateketeza. Wasifikiri kwamba wana ulinzi mzuri, mbona ni kitu rahisi sana kuwadhuru!
Angekuwa Rais Putin hapo mbona wange kuwa wamesha ondoka zamani sana.
Zitto Kabwe na watu kama akina Maria Sarungi na wengineo mara kwa mara wanapata mialiko ya kwenda kukutana na viongozi wa vyama Ujerumani na baadhi ya nchi za Ulaya, wanaenda kufanya nini? Na kama nani wao wapewe mialiko hiyo?
Muwe mnamsikiliza sana kauli zake. "Eti tusilaumiane". Mzalendo wa kweli anayeipenda nchi yake anasema kauli kama hizo?
Rais Magufuli nakuomba watumishi wote wa serikali na wanachama wa vyama ambao wanashirikiana na NGOs kuwatupia macho ili kubaini nini kinaendelea. Tuna maadui wengi sana miongoni mwetu.