Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ACACIA Ni Tundu Lissu
Sio ACACIA Ni Tundu LissuHuu ni uhuni mkubwa.
ACACIA sasa inamtumia mkulima kutuadabisha... hao barik wapo Canada hivyo wanajua nini wanakifanya
Mkulima Hana Maana Na Hawa Wahuni Wachache Wa Ndani Muda Ukifika Watalaumiana
Acha ramli
Sio ACACIA Ni Tundu Lissu
enhe?Usaliti una gharama zake nadhani Tundu lissu Hilo analijua Kama Yuko tayari kulipa gharama it is ok
Huko kwenu kumbe viroba bado vipoMabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
😂😂😂hilo 'mbula'mkuu nmecheka kifalaMbula:kama ni kweli tutashaa
Kwa jinsi wapinzani walivyokosa busara, si ajabu kushangilia shirika la ndege la nchi ambayo wanataka kuiongoza likishindwa kufanikiwa, sasa sijui wapinzani wakishika madaraka ndege hazitakuwepo au hazitanunuliwa kabisa nahisi usafiri utakaotumika ni punda na ungo, Itakuwa Taifa la kishirikina. sijui kwanini ndugu zetu hampendi maendeleo kabisa.Haya malalamiko yako fungulia thread yake.
Taarifa za kizushi na kizandiki.
Mabeberu kwisha Habari yao
Tutawanyoonsha
unganisheni mods
Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Hatutakubali !