Yani Tanzania hata ikifunga ubalozi wake Kigali hawatetemeki πππMabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Aliyependekezwa na pengo au?Rais ajae ana kazi sana.
You are not serious Afunge ubalozi wa wapi???! Unafikiri Canada ni sawa na South Africa mlikowadanganya wakadanganyikaMabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Lipeni madeni wacheni porojo...Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Bado nina imani na jopo letu la mawakili, Natumai watashinda hata hili kwani sio mara yao ya kwanza kushinda kesi wakiwa nje ya nchi yetu [emoji123]Hawezi huko ni maji marefu, hakuna wa kuogopa mimacho yake kule. Pili yeye ni mnobezi kwenye ualimu wa sheria na siyo Mahakamani.
Mahakamani hathubutu tu hata kusimama na John Mallya au Jebra Kambole
Habari njema hii, ndio maana ikaitwa habari, au unataka tushangilie kwenda dodoma ?. dawa ya deni ni kulipa.Hizo Habari ndio mnazipenda badala ya kushughulika na Ada na kodi za January
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upupu.Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
....hahahaaa we naona unataka kukamata jengo la dom lenye malifutii mawili sasa tutamuagiza mkuu wa wajeda azing'oe halaka tutakua tunapanda kwa kamba!! na ukikua tunakuweka rocap mpaka useme wewe sio mkulima ila ni sarangee π€£π€£π€£ sarange oyeeeeeeNikiwa mkubwa nataka niwe kama mkulima wa South!
....unamaanisha yule aliepewa ukoo na mchina?πππ Mkulima mwenye mbegu zisizootaAliyependekezwa na pengo au?