Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
“Ndege yetu ambayo ilikuwa inajiandaa kutoka Canada kuja Tanzania imekamatwa na aliyesababisha kukamatwa ni yuleyule ambaye alifanya hivyo Afrika Kusini na tukamshinda Mahakamani sasa amekimbilia Canada” - Waziri KabudiMabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Wewe nani? Tulia sindano ikuingie pole pole isije kuvunjikia mwiliniMabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
sawaHuyohuyo!
Jamaa unaijua miradi mingapi ambayo Canada wana mkono wao?
mbona kama umepanic mkuu...january ilikuwepo na itaendelea kuwepo hatuiogopiHizo Habari ndio mnazipenda badala ya kushughulika na Ada na kodi za January
Bwashee toa Maelezo yaliyokamilika!
Taarifa za kizushi na kizandiki.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mbona kama imekaa kizushi zushi [emoji848]Imeelezwa Kuna ndege ilikuwa ifike nchini lakini imekamatwa. Amesema waziri Kabudi . Azam tv
Hiyo habari za ada zinakuhusu wewe usiye na uhakika wa kipato