jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatukua na madeni mengiMbona zamani haya mambo hayakuwepo
Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Umeona like yangu huko?
Haina shida litakwenda lile jopo la mawakili wetu wasomi waliowanyorosha wasauzi.Waziri wa mambo ya nje prof kabudi amesema ndege ya AIR TANZANIA bombardier Q400 imekatwa (ipo grounded) nchini canada
SOURCE
mwananchi updatesView attachment 1269874
Mbona kama imekaa kizushi zushi [emoji848]
Kabudi kalisemea hili live walipo kuwa wanaapishwa mabalozi Ikulu DodomaHata mimi siamini
Naona umeshiba maharage.Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Lipeni deni kwanzaMabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Mkulima alichezewa faulu South Africa kwenye Tabia mbovu za kiafrika kaamua kwenda kwenye haku pasipo na RushwaImeelezwa Kuna ndege ilikuwa ifike nchini lakini imekamatwa. Amesema waziri Kabudi . Azam tv
Duh aiseeImeelezwa Kuna ndege ilikuwa ifike nchini lakini imekamatwa. Amesema waziri Kabudi . Azam tv
Mkulima anadai badoKwani wao wanatudai?
Imeelezwa Kuna ndege ilikuwa ifike nchini lakini imekamatwa. Amesema waziri Kabudi . Azam tv
Kwamba tutakuja kwako kuomba pesa za ada?Hizo Habari ndio mnazipenda badala ya kushughulika na Ada na kodi za January