MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
Chadema kama kweli mliongea hili Basi Ni wazi kuwa mnaendeshwa kwa hisi zaidi, na hapo ni ishara kubwa hamna utaasisi imara.
Bavicha walisema yule jamaa alilipwa kimyakimya ndio maana ndege ikaachiwa kule south africa!