SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Una maana Kabudi ni mzushi???Taarifa za kizushi na kizandiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana Kabudi ni mzushi???Taarifa za kizushi na kizandiki.
Ubabe unaigharimu Nchi pesa iliyotika kwenda kutoa Rushwa South Africa, gharama za mawakili viongozi wa Serikali utitiri waliokwenda kule ni pesa nyingi sana na ingeweza kupunguza Deni na leo hii kusingekuwa na mjadala huu, ubabe toka kolomije unaigharimu nchiSi juzi pale kibaigwa alisema anawathamini sana wakulima sasa wamlipe mkulima deni lake
Walisemea wapi dada?Bavicha walisema yule jamaa alilipwa kimyakimya ndio maana ndege ikaachiwa kule south africa!
Jamaa naona kashikwa sehemu nyeti
Mtawanyoosha wapi wakati tayari mmekalia "MIDLE FINGER"?. Hata Mugabe alikuwa hivyo na sifa za kijinga ila sasa Wazimbabwe wote hasa wale waliokuwa wanamsifia wanaugulia maumivu ya midle finger...
Una maana Kabudi ni mzushi???
Pesa ya Deni inajenga chato Airport chato kolomije kwanzaLipeni deni kwanza
Kwa kweli...!Jamaa unaijua miradi mingapi ambayo Canada wana mkono wao?
Ukiona haya yanazidi kutokea ujue JPM bado haja wavunja moyo (haja wa disappoint) waTanzania. Bado yuko na kasi ileile aliyoanza nayo. Bado hajawasujudia mabeberu.
Bravo JPM
Bravo Tanzania.
CCM mkienda kuomba omba misaada munawaita wazungu wafadhili lakini mkivurunda wakawakemea mnaanza kuwaita mabeberuUkiona haya yanazidi kutokea ujue JPM bado haja wavunja moyo (haja wa disappoint) waTanzania. Bado yuko na kasi ileile aliyoanza nayo. Bado hajawasujudia mabeberu.
Bravo JPM
Bravo Tanzania.
Walidhani wakulima wote ni wa koroshoWakulima hawapangiwi!
Nchi za Africa kufanikiwa kiuchumi ni kwa mbinde sana, wazungu wanatumia jitihada nyingi kuturudisha nyuma
Kwa Tanzania inajirudisha nyuma yenyewe siyo wazungu, Ubabe wa Naibu Rais Daud Bashite na Mtukufu malaika toka chato vina uhusiano gani na wazungu?Nchi za Africa kufanikiwa kiuchumi ni kwa mbinde sana, wazungu wanatumia jitihada nyingi kuturudisha nyuma
Nayaona ya masamaki na chiluba kwa hizi pamba sikioni zinatazama Leo hazioni hatari ya kesho,Maisha ni upepo wapi kina masha na ngeleja Leo wanasalimia kila mtu.Hakuna kipya chini ya jua.Mtu aliyeelimika atembei gizani utazama kivuli chakeNaunga mkono Hoja yako kwa 100% mwaka 2026 akiingia Rais mpya lazima Doto, Daud Bashite na wenzao watakwenda segerea keko Ukonga