Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

Ndege hiyooooooooo

Itawasili tuuu,
maana haya madeni si ya JPM aliyesababisha. Kama vile yule mkulima kibabu alivyoikamata ndege yetu. Hamjitambui ndiyo maana kwenu kila baya linaloipata Tanzania ni furaha kwenu.
 
“Ndege yetu ambayo ilikuwa inajiandaa kutoka Canada kuja Tanzania imekamatwa na aliyesababisha kukamatwa ni yuleyule ambaye alifanya hivyo Afrika Kusini na tukamshinda Mahakamani sasa amekimbilia Canada” - Waziri Kabudi

#JPMUapishoMabalozi East Africa TV on Twitter
Kamshindeni na huko Canada sasa,pelekeni yule jamaa mwenye digrii nne si mwanasheria yule au...

Sio kutwa anashinda na kina Hamonaizi tu..
 
“Ndege yetu ambayo ilikuwa inajiandaa kutoka Canada kuja Tanzania imekamatwa na aliyesababisha kukamatwa ni yuleyule ambaye alifanya hivyo Afrika Kusini na tukamshinda Mahakamani sasa amekimbilia Canada” - Waziri Kabudi

#JPMUapishoMabalozi East Africa TV on Twitter
Kwa nini Kabudi anapenda kumdanganya Rais kila apatapo nafasi? Hivi kesi ya Mkulima tulishinda wakati deni lilikuwa palepale?
Kule ni taratibu zilikosewa na watu hata humu JF walionya sana kuwa tunafunika moto kwa kuufunika kwa jivu. Wanasiasa nao walionya wakaitwa mabeberu Jr, wakanyamaza. Serikali ikaanza matambo kama ya kijiweni eti ilipeleka PhD ngapi sijui, wakapongezana hadi Bungeni na magazeti yao yote.

Tunasema tena, tumejikita kupeleka mambo yetu kishamba sana na sifa za kijinga lakini yakiharibika tunataka RAIA wote eti wasikitike na hilo batch la watu wa hovyo. Hapana, ujinga huo ni wenu wenyewe na sasa sijui kama mkulima hata lipwa tena.
 
Kwa nini Kabudi anapenda kumdanganya Rais kila apatapo nafasi? Hivi kesi ya Mkulima tulishinda wakati deni lilikuwa palepale?
Kule ni taratibu zilikosewa na watu hata humu JF walionya sana kuwa tunafunika moto kwa kuufunika kwa jivu. Wanasiasa nao walionya wakaitwa mabeberu Jr, wakanyamaza. Serikali ikaanza matambo kama ya kijiweni eti ilipeleka PhD ngapi sijui, wakapongezana hadi Bungeni na magazeti yao yote.
Tunasema tena, tumejikita kupeleka mambo yetu kishamba sana na sifa za kijinga lakini yakiharibika tunataka RAIA wote eti wasikitike na hilo batch la watu wa hovyo. Hapana, ujinga huo ni wenu wenyewe na sasa sijui kama mkulima hata lipwa tena.
Tatizo linakuja sasa ile pesa ya mkulima Kabudi aliichukua kaitafuna baada ya kuamini wamemdhibiti, hapo alipo kichwa kinamuuma
 
Kwa nini Kabudi anapenda kumdanganya Rais kila apatapo nafasi? Hivi kesi ya Mkulima tulishinda wakati deni lilikuwa palepale?
Kule ni taratibu zilikosewa na watu hata humu JF walionya sana kuwa tunafunika moto kwa kuufunika kwa jivu. Wanasiasa nao walionya wakaitwa mabeberu Jr, wakanyamaza. Serikali ikaanza matambo kama ya kijiweni eti ilipeleka PhD ngapi sijui, wakapongezana hadi Bungeni na magazeti yao yote.
Tunasema tena, tumejikita kupeleka mambo yetu kishamba sana na sifa za kijinga lakini yakiharibika tunataka RAIA wote eti wasikitike na hilo batch la watu wa hovyo. Hapana, ujinga huo ni wenu wenyewe na sasa sijui kama mkulima hata lipwa tena.
Mimi nashangaa...hivi huyo mkulima anadai kiasi gani ambacho serikali inashindwa kulipa tukamaliza hii ishu? Hizo ndege sasa zitashindwa kwenda nje ya nchi kwa hofu ya kumamatwa
 
Huyo mkulima alivyo kichaa msishangae akija kufungua kesi na hapa Tz ndege ikapigwa ban either JNIA or KIA.EXTRA:ss mhe waziri analalamika kwamba Canada wanazuia ndege daily kama vp wabadili soko cjamuelewa vzr hapa ndugu wajumbe 😂😂😂.JAMBO NA VIJAMBO..🚶🏿🚶🏿🚶🏿
 
Back
Top Bottom