Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

Haya mabaya mengine tunajitakia wenyewe,kwa nini tusilipe madeni ya watu kulingana na makubaliano yaliyoafikiwa tuachane na usumbufu usio wa lazima?

Hivi unajua madeni ambayo yanatuletea shida Tanzania yana umri gani?
 
Stuxnet, Kwa kutambua kuwa Prof. Kabuni ni mbobezi na nguli katika sheria, kwanini aogope kushindana na wanasheria wenza katika ulingo wa kimahakama.

Acheni sheria ichukue mkondo wake na hii ndio maana ya kuajiri Wanasheria serikalini ili walinde maslahi mapana ya serikali na nchi kwa Ujumla.
 
Nchi za Africa kufanikiwa kiuchumi ni kwa mbinde sana, wazungu wanatumia jitihada nyingi kuturudisha nyuma
Si kweli umasikini wa Africa chanzo ni watawala mbona wakoloni walituletea maendeleo kwa mazingira hayahaya sie kimetushinda nn, tuliopata nao uhuru sawa mbona wao wameendelea,mwafrika akishindwa kuendelea usingizia Mzungu.
 
tajiri.jpg
 
Hapa lazima alipwe maana hakuna pa kujificha ooo tuliwapa ANC kambi za wapigania uhuru.

Hapa ni kulipa deni na hatuna njia yoyote ya kuwatishia hawa mabeberu
Kwa nini Kabudi anapenda kumdanganya Rais kila apatapo nafasi? Hivi kesi ya Mkulima tulishinda wakati deni lilikuwa palepale?
Kule ni taratibu zilikosewa na watu hata humu JF walionya sana kuwa tunafunika moto kwa kuufunika kwa jivu. Wanasiasa nao walionya wakaitwa mabeberu Jr, wakanyamaza. Serikali ikaanza matambo kama ya kijiweni eti ilipeleka PhD ngapi sijui, wakapongezana hadi Bungeni na magazeti yao yote.
Tunasema tena, tumejikita kupeleka mambo yetu kishamba sana na sifa za kijinga lakini yakiharibika tunataka RAIA wote eti wasikitike na hilo batch la watu wa hovyo. Hapana, ujinga huo ni wenu wenyewe na sasa sijui kama mkulima hata lipwa tena.
 
Andamaneni mwende ubalozi wa Canada mkafanye fujo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wale Jkt watawanyoosha Ingawa ni wabongo wenzangu
Maana pale upande ubalozi wa Norway upande Ireland Sweden kule ujerumani na EU pembeni misri opposite jeshi
Sasa maandamano yatakuwa alert vibaya
 
Back
Top Bottom