Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You're mentally sickMabeberu kwisha Habari yao
Tutawanyoonsha
Yanawezekana mengine ni ya enzi ya Mhe.Mkapa au nyuma yake ila inayodaiwa ni nchi siyo mtu kwa hiyo aibu ni ya Taifa .yaani naumia sana kuona nchi yangu inadhalilishwa na mtu mmoja kwa deni ambalo tuna uwezo wa kulilipa.Hivi unajua madeni ambayo yanatuletea shida Tanzania yana umri gani?
Wahi kibaruani kabebe zege Upate ada na kodi, wenzio tumepumzika Hotelini Bagamoyo leo hadi kesho, HAKUNA STRESS!Hizo Habari ndio mnazipenda badala ya kushughulika na Ada na kodi za January
Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Lakini hii serikali yetu inakwama wapi sehemu moja hiyohiyo zinakamatwa ndege zaidi ya mbili na bado unajipeleka. Ni ujinga.
Unadhani na wao hawana maslahi yao ?wanakupa tu bure ?Jamaa unaijua miradi mingapi ambayo Canada wana mkono wao?
Pumbavu ulitaka tukae kimya hujui hizi kodi zetu.Hizo Habari ndio mnazipenda badala ya kushughulika na Ada na kodi za January
Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Aisee. Hio ni moja ya ndege ZINAZOTENGENEZWA CANADA. Ni mpya.Hii ndege ilienda Canada kufanya nini?