omumwi aka
Member
- Sep 17, 2018
- 75
- 48
Wivu unawasumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshauri mkuu wa mtukufu malaika toka chato ni Daud Bashite ambaye hana vyeti unategemea nini hapoIla yule babu mbishi dah!ataua watu kwa presha..
Mkulima anadai pesa ndogo lakini wametumia pesa nyingi kuzuia kumlipa kesi ya kuku wanauza ngo’ombeMimi nashangaa...hivi huyo mkulima anadai kiasi gani ambacho serikali inashindwa kulipa tukamaliza hii ishu? Hizo ndege sasa zitashindwa kwenda nje ya nchi kwa hofu ya kumamatwa
Sidhani kama inazidi ya kumtibia spika India labda yacheza mle mle tuMimi nashangaa...hivi huyo mkulima anadai kiasi gani ambacho serikali inashindwa kulipa tukamaliza hii ishu? Hizo ndege sasa zitashindwa kwenda nje ya nchi kwa hofu ya kumamatwa
....tena ata akiiuza kwa mnada atakiwi kupangiwa bei 😁😁😁 hii zamu ya wakulima kunenepa! Na mie mwaka huu nitalima mchicha poli wakinizengua nakamata meli 🤣🤣Wakulima hawapangiwi!
Haya mabaya mengine tunajitakia wenyewe,kwa nini tusilipe madeni ya watu kulingana na makubaliano yaliyoafikiwa tuachane na usumbufu usio wa lazima?Itawasili tuuu,
maana haya madeni si ya JPM aliyesababisha. Kama vile yule mkulima kibabu alivyoikamata ndege yetu. Hamjitambui ndiyo maana kwenu kila baya linaloipata Tanzania ni furaha kwenu.
Hivi mkuu unajisikiaje kudanganya uma wa watanzania ambao wanasoma hiki ulichoandika hapa JF. Jitathmini mkuu kabla ya kuandika uongo.Kule South Africa ni Africa na Tabia zao ni mbovu walipokea Rushwa wakaachia Ndege lakini hapa Canada hawana ujinga huo ni haki bini haki
YesMkulima effect au kitu gani tena?
Acha ufala wewe kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kwa mapungufu yake yote pasipo kubagua au kuacha chochote, usiwapangie wapinzani cha kukosoaChadema kama kweli mliongea hili Basi Ni wazi kuwa mnaendeshwa kwa hisi zaidi, na hapo ni ishara kubwa hamna utaasisi imara.
Wewe umeshazilipa mkuu?Hizo Habari ndio mnazipenda badala ya kushughulika na Ada na kodi za January
South Africa ni Africa Tabia zao ni za kiafrika kama ulikuwa hujui, hakuna uongo hapoHivi mkuu unajisikiaje kudanganya uma wa watanzania ambao wanasoma hiki ulichoandika hapa JF. Jitathmini mkuu kabla ya kuandika uongo.
Hawa mabeberu wanatuchezea sasa!
hahahaha uyo si bado anaumwa asije babuka tena na baridi la canadaKamshindeni na huko Canada sasa,pelekeni yule jamaa mwenye digrii nne si mwanasheria yule au...
Sio kutwa anashinda na kina Hamonaizi tu..
Dawa ya Deni ni kulipa siyo ubabe wenye gharama kubwa kuliko DeniHuyo mkulima alivyo kichaa msishangae akija kufungua kesi na hapa Tz ndege ikapigwa ban either JNIA or KIA.EXTRA:ss mhe waziri analalamika kwamba Canada wanazuia ndege daily kama vp wabadili soko cjamuelewa vzr hapa ndugu wajumbe 😂😂😂.JAMBO NA VIJAMBO..🚶🏿🚶🏿🚶🏿
Canada hakuna Rushwa kama South AfricaKama mliwahonga majaji wa south mkashinda(rejea kesi ya marehemu masogange aliyekamatwa na gunia la sembe south africa na akaachiwa huru), Majaji wa Canada hawaongeki ,jiandaeni kulipa deni.