Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

“Jambo linalosikitisha ndege zilizokuwa zinatoka Marekani aina ya Dreamliner mbili hazikukamatwa zimefika lakini kila ndege inapotakiwa kuondoka Canada tunashangaa hao matapeli wanajuaje na ndege zinakamatwa.”Prof Kabudi😆😆😆😅😂😂
 
A Alipwe pesa yake mambo yaendelee
 
Wahindi wote wa kisutu kwao ni Canada!
 

Aisopos,
You're correct to da dot!
Pro~fedheha Kabundi knows that there's International Laws which has nothing to do with da so called MABEBERU…!
Ubeberu is just a propaganda by CCM government to fool Tanzanians…!
The best and only solution in place is to PAY the Farmer owed by CCM Government! There'll be no shortcut to this case!
 
Acheni kubebesha watu lawama.....lipeni deni
Yafaa mtu huyo mmoja anayelisumbua taifa kufa ili watanzania 54 miliion wanUifaike na miradi ya taifa inayoendelea kujengwa .
 
Mabeberu na michezo yao ya kishetani

Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu


Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Unayemshauri Muoga kama nini
Hahahaha
Mmeshikwa Makalio hamna ujanja
Nyie saizi yenu CHADEMA tu,kazi kuwaonea wao
 
Jamani watanzania huyo si mkulima, atakuwa mfanyabiashara. Wakulima hawa hawa tunao wafahamu sisi ambao ukiwadhulumu wanakuendea kwa babu kukuloga.
...tena babu mwenyewe anaogopa ata kukamata pkpk anatuma moshi akiwa kajificha kilingeni😁😁😁
 
Meko ana bahati mbaya
Hapana.
Unapojifanya kuwa wewe ni mmbabe, wengine nao walio na uwezo wa kukukatalia ubabe unaowafanyia wasiokuwa na uwezo wa kukukatalia ubabe wako, watakuonyesha kwamba ubabe huo unaishia kwa hao raia wasioweza kuukataa ubabe wako.
Huku kwingine duniani watakutia adabu tu usipojirudi.

Naona nimeizungusha sana sentensi hii, sijui kama itaeleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…