Prof Kabudi ni mtu ambaye ukimwambia aelezee ubora au faida za Nzi ni nyingi kuliko Nyuki anaweza shawishi watu wengi

Kwa hiyo kwa maneno mengine Prof anaweza kuwa na sifa ya chawa mwerevu.
 
Profesa
Profesa Wa
Majalalani hamna kitu hapo dogo huyu profu aliharibu Heshima yake alipoanza kwenda kinyume na maandishi na matamko yake ya huko nyuma akiwa mjumbe wa tume ya katiba
Kwa hiyo chochote anacnogea Leo haaminiki
 
Profesa

Profesa Wa
Majalalani hamna kitu hapo dogo huyu profu aliharibu Heshima yake alipoanza kwenda kinyume na maandishi na matamko yake ya huko nyuma akiwa mjumbe wa tume ya katiba
Kwa hiyo chochote anacnogea Leo haaminiki
Nyie madogo sijui kama huwa mnasoma mnaelewa. Sijui. Zamani miaka yetu mtu angeelewa vizuri sana. Sijui Elimu yenu ikoje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…