Ni moja katika ya ma profesa wachache wenye kujua kuzungumza na kujua kuchezea lugha ya Kiswahili. Huwa namsifu.
Ni profesa ambaye unaweza ukampa kazi awaelezee watu faida za kufuga Nzi ni nyingi kuliko kufuga Nyuki. Na akaelezea kwa mbwembwe sana na wengi wakafurahia sana na kuanza kuangalia namna ya kufuga Nzi.
Ndivyo alivyo. Ila kwa yeye kama yeye sidhani kama ana kitu anasimamia. Sidhani. Umri umeenda anaangalia kwa haraka haraka tu ataishije na kustaafu.