Kweli ni gwiji,anakataa hawaja funga mipaka hapohapilo anasema wamesitisha shughuli kufanyika..mwambie kabudi aende mpakani aone kunanini kinaendelea ila kwakuwa waliobaki bungeni wote ni mazwazwa si shangai majibu kama hayo.Palamagamba ni gwiji la diplomasia
Ndio maombi ya saccos , usiombe saccos kutaka kutawala NchiKupatwa kwa nchi!!!!
Alisema mwenyewe kwamba katolewa jalalani... kwa hiyo ni profesa kutoka jalalani.
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde bali ilisimamisha shughuli ktk mpaka huo kwa siku tano > Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020
Nakumbuka mkuu yaani nilichoka PhD holder anasema katoka jalalani??Alisema mwenyewe kwamba katolewa jalalani... kwa hiyo ni profesa kutoka jalalani.
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa....