Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde

Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde

Zanika

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
1,316
Reaction score
752
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde bali ilisimamisha shughuli ktk mpaka huo kwa siku tano > Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020



Kabudi.jpg
 
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde bali ilisimamisha shughuli ktk mpaka huo kwa siku tano > Waziri wa Afya wa Zambia, Chitalu Chilufya alisema Rais Edgar Lungu aliagiza mpaka huo ufungwe kuanzia Mei 11, 2020


[/QUOTE
Huyu baba akili zimemruka? Huu ni wakati wa utandawazi kila mtu anapata taarifa Tena kwa wakati.kati ya mtu anayempotosha Mh Rais ni huyu baba.
 
Back
Top Bottom