Tetesi: Prof. Kitila Mkumbo kuchuana vikali na Nyalandu jimboni

Kwa taarifa timu kama hujui Nyalandu hatagombea singida tena anasubilia 2020.

Na kitila mkumbo hvo hvo watachuana na Lisu 2020 pole kwa tetesi zako uchwara.
 
Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani,
1. Mkumbo Kitila HAJAWAHI kuwa na "chembechembe" za UPINZANI. Ni ccm DAMU tangu zamani.
2. Mkumbo Kitila anatoka NDAGO (Singida Kusini), kugombea Singida Kaskazini ni kujitangaza KUSHINDWA kabla ya ushindani kuanza.
3. Itakuwa ni ushindani wa Kitila "aliyeTOKA" upinzani kwenda CCM na Nyalandu aliyetoka CCM kwenda upinzani. Watakuwa wanajibu swali la Paskali wa JF: "Yupi mzuri, shetani aliyebadilika kuwa Malaika, au Malaika aliyebadilika kuwa shetani?"
4. Inawezekana pia wana Singida wakapiga kura "KUMPA ZAWADI TLS" .....
 
Mh!?Dk Nyalandu???rekebisha hapa kwanza mkuu halafu ntarudi!
 
Sasa kwa lip ajiuzuluu km bado anataka huoo ubunge...
Mkuu mbona sababu za kujitoa CCM ameishaziweka wazi au wewe hukuwepo duniani wakati anaondoka CCM? Uliza au fuatilia taarifa kwenye social media, ikiwemo humu JF.
 
Labda Nyalandu aweke D.E.D wake wa kumtangaza mshindi,kinyume na hapo,ajiandae kuangukia pua.
 
Eti nimesikia baadhi ya wanaCCM wanajinasibu kwamba hata akishinda Nyalandu watamtangaza Kitila! Hizi naziona kama dua za kuku.
Sio za kuku Bali za fisi, mkono udondoke niule
 
Kitila Mkumbo Pr, akichukua fomu ya kugombea singida kaskazin , nitakuja kukupigia kampen na ninaamini ndiye mtatuzi wa matatizo hapo.

Pr ,Kitila ni mtu ambaye yupo smart na anafanya research na kutambua chanzo cha matatizo katika utendaji kwa mana
Alipokuwa cdm, cdm ilikuwa moto kwanini jibu ni dogo sana ,huyu mh alikuwa haonekani lakin kazi yake ilikuwa kubwa sana kufanya tafiti na kuwaletea viongozi wa juu wa cdm ,kama Zitto, Mbowe na Slaa.

Pr, Kitila ndiye aliyekuwa anafundisha vijana kujenga hoja pale cdm , na ikafikia mahali hata serikali awamu ya nne kuwaagopa wadogo kama ,Zitto, Mnyika na Mdee. Lkn leo baada ya baba kuondoka angalia uwezo wao ulivyopomoko

Angalia pia Udsm alivyofanya kazi iliyotukuka.


Singida Kaskazin inamhitaji zaid Mkumbo kuliko yeye anavyohitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…