Tetesi: Prof. Kitila Mkumbo kuchuana vikali na Nyalandu jimboni

Tetesi: Prof. Kitila Mkumbo kuchuana vikali na Nyalandu jimboni

Wanafiki ni nyie mnayemuona mkosaji leo baada ya kujiondoa CCM. Kwani huo uchafu huonekana tu pindi wakitoka ndani ya chama chenu?

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Na yule mhasibu wa Takukuru ni wa Chadema sio au Leo akitangaza naacha kazi na najiunga Chadema atakuwa mtakatifu! Au vipi?
 
Kitendo cha Nyalandu kujiuzuru akiwa Arusha kimezua hasira kubwa jimboni hivyo kupita kwake itakuwa ngumu. Pia Prof Kitila is better off as katibu mkuu kuliko kuwa ('mchakata domo') mbunge.
Kwamba Kitila akigombea anakwenda na ukatibu mkuu au?
 
Anaweza kuongea mengi kama haya;
e5a3fcc4727cfd444a17f8306a3c9272.jpg

f5f543ddc6cbba11f388480edce2b1f6.jpg
Hahahhahah huyu naye anajiita profesa. Unapozunguka vyama zaidi ya 2 in a short span of your life, definitely unakuwa malaya wa kisiasa.
 
Yupo wapi mshindi wa pili wa CCM kura Za maoni zilizompa ushindi 2010? Nadhani angekuwa right candidate wa chama chetu kupambana na Mh. Nyalandu.
 
Nyalandu na kétiila Mukuumbo ni mtu na mtani wake mnyaturu na mnyiramba respectively, mpambano unafanyikia unyaturuni kwa wanyaru wanaojitambua! Wanyaturu wanawadharau wanyiramba kupita maelezo! Hata ikitokea mnyaturu kafa wakilia huwa wanakilaumu kifo kwa kutowatendea haki kwani kilipaswa kumchukua (kumuua) mnyiramba.
Sasa upeleke mtu dhalili kuomba awaongoze watu mahiri! unawatafutia watu lawama.

Kétiila Mukuumbo kama anataka kujua kicheko cha wanyaturu ajichuuze na kuingia kichwakichwa.
Labda aende na wapiga kura wake kutoka zènzèlègè.
Teh teh teh.
N:B Utani sio ukabila.
 
Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr Lazaro Nyalandu katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika kumchagua mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini baada ya Dr Nyalandu kujiondoa CCM na kujiunga CHADEMA hivi karibuni.

Wataalamu wa masuala ya siasa wanabainisha kuwa CCM wamejithathmini na kuona wamteue Prof Kitila kuwa mgombea wao ili achuane na mgombea wa upinzani, Dr Nyalandu. Sababu zinazopelekea CCM walenge kumteua Prof Kitila ni kutokana na hali ya siasa za Kanda ya Kati ambazo hazitabiriki hata kidogo. Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani, hivyo kuweza kujizolea mashabiki kutoka upande wa upinzani pamwe na upande wa CCM.

Aidha,upande wa CHADEMA nao wanatamba kuibuka washindi katika jimbo hilo kutokana na kuwa na hazina nzuri ya wafuasi, huku wakitarajia kupata "kura za chuki" za kutosha kutoka kwa wanaCCM, hasa wale wanaokerwa jinsi nchi inavyotawaliwa kwa sasa.

MAONI YANGU
Mimi kete yangu naitupia kwa Dr Nyalandu kuibuka na ushindi katika uchaguzi huo mdogo kwa kuwa bado ana wafuasi wa kutosha kutoka upande wa CCM, hasa wale wasioridhishwa jinsi CCM inavyomwandama Dr Nyalandu na kashfa za kutunga huku wakijua fika utumishi wa Dr Nyalandu haujawahi kuwa na doa lolote.

Je, wewe dau lako unalitupia kwa nani na kwa sababu gani? Toa maoni yako sasa!
hivii sheria ya ajira inasemaje kuhusu viongozi kama hawa..
kujihusisha na siasa inaswihi?
 
Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr Lazaro Nyalandu katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika kumchagua mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini baada ya Dr Nyalandu kujiondoa CCM na kujiunga CHADEMA hivi karibuni.

Wataalamu wa masuala ya siasa wanabainisha kuwa CCM wamejithathmini na kuona wamteue Prof Kitila kuwa mgombea wao ili achuane na mgombea wa upinzani, Dr Nyalandu. Sababu zinazopelekea CCM walenge kumteua Prof Kitila ni kutokana na hali ya siasa za Kanda ya Kati ambazo hazitabiriki hata kidogo. Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani, hivyo kuweza kujizolea mashabiki kutoka upande wa upinzani pamwe na upande wa CCM.

Aidha,upande wa CHADEMA nao wanatamba kuibuka washindi katika jimbo hilo kutokana na kuwa na hazina nzuri ya wafuasi, huku wakitarajia kupata "kura za chuki" za kutosha kutoka kwa wanaCCM, hasa wale wanaokerwa jinsi nchi inavyotawaliwa kwa sasa.

MAONI YANGU
Mimi kete yangu naitupia kwa Dr Nyalandu kuibuka na ushindi katika uchaguzi huo mdogo kwa kuwa bado ana wafuasi wa kutosha kutoka upande wa CCM, hasa wale wasioridhishwa jinsi CCM inavyomwandama Dr Nyalandu na kashfa za kutunga huku wakijua fika utumishi wa Dr Nyalandu haujawahi kuwa na doa lolote.

Je, wewe dau lako unalitupia kwa nani na kwa sababu gani? Toa maoni yako sasa!
Hivi watu mnapenda kupoteza muda, hivi Kitila(Mnyiramba) anaweza kuwa na uthubutu gani kuwania Ubunge kwenye jimbo ambalo 100% ni Wanyaturu, tena Wairwana? Hivi mnaelewa haya makabila mawili yanavyodharauliana au mnaandika tu kufurahisha genge???

Please take time kujifunza tabia na asili za maeneo mbalimbali kabla ya kuandika chochote....hakuna Mnyiramba mwenye chance ya kuchaguliwa Mbunge kwa majimbo ya Singida Kaskazini, Sgd Mashariki na hata Sgd Mjini...they have ZERO chance, msipoteze muda kujadili vitu visivyowezekana; Jimbo la Sgd Kaskazini ni la Lazaro(Mnyaturu) labda yeye aamue kutokurudi
 
We unategemea nani atasimama..
Unadhani hatua aliyofikia NYARANDU si kukurupuka amejipanga kwa kuwa anajua uchaguzi utarudiwa na anahitaji la kurudisha nafasi yake

Nlikuwa namuongelea Nyalandu na siyo NYARANDU
 
Back
Top Bottom