chimbendenga
Senior Member
- Sep 25, 2017
- 121
- 48
Na yule mhasibu wa Takukuru ni wa Chadema sio au Leo akitangaza naacha kazi na najiunga Chadema atakuwa mtakatifu! Au vipi?Wanafiki ni nyie mnayemuona mkosaji leo baada ya kujiondoa CCM. Kwani huo uchafu huonekana tu pindi wakitoka ndani ya chama chenu?
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Kwamba Kitila akigombea anakwenda na ukatibu mkuu au?Kitendo cha Nyalandu kujiuzuru akiwa Arusha kimezua hasira kubwa jimboni hivyo kupita kwake itakuwa ngumu. Pia Prof Kitila is better off as katibu mkuu kuliko kuwa ('mchakata domo') mbunge.
hapana !nawambia ccm ... najua ni nyaklandu
Hahahhahah huyu naye anajiita profesa. Unapozunguka vyama zaidi ya 2 in a short span of your life, definitely unakuwa malaya wa kisiasa.Anaweza kuongea mengi kama haya;
Hata wananchi wakimpa kura Professor Kitila kwa mtazamo wako ni Nyalandu kashinda!!Nyalandu hata akishinda hawezi kutangazwa
Hii wataelewa wachacheSiasa bana...."aliyeibiwa" kura kumpa ushindi Nyalandu this time anaweza "akaibiwa kura" tena internally ili Nyalandu agombee
Haya maneno yanapaswa kuwa magnified.Nani kakuambia Nyarandu anarudi singida?,nyarandu anakwenda kuchukua jimbo la lema arusha
hivii sheria ya ajira inasemaje kuhusu viongozi kama hawa..Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr Lazaro Nyalandu katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika kumchagua mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini baada ya Dr Nyalandu kujiondoa CCM na kujiunga CHADEMA hivi karibuni.
Wataalamu wa masuala ya siasa wanabainisha kuwa CCM wamejithathmini na kuona wamteue Prof Kitila kuwa mgombea wao ili achuane na mgombea wa upinzani, Dr Nyalandu. Sababu zinazopelekea CCM walenge kumteua Prof Kitila ni kutokana na hali ya siasa za Kanda ya Kati ambazo hazitabiriki hata kidogo. Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani, hivyo kuweza kujizolea mashabiki kutoka upande wa upinzani pamwe na upande wa CCM.
Aidha,upande wa CHADEMA nao wanatamba kuibuka washindi katika jimbo hilo kutokana na kuwa na hazina nzuri ya wafuasi, huku wakitarajia kupata "kura za chuki" za kutosha kutoka kwa wanaCCM, hasa wale wanaokerwa jinsi nchi inavyotawaliwa kwa sasa.
MAONI YANGU
Mimi kete yangu naitupia kwa Dr Nyalandu kuibuka na ushindi katika uchaguzi huo mdogo kwa kuwa bado ana wafuasi wa kutosha kutoka upande wa CCM, hasa wale wasioridhishwa jinsi CCM inavyomwandama Dr Nyalandu na kashfa za kutunga huku wakijua fika utumishi wa Dr Nyalandu haujawahi kuwa na doa lolote.
Je, wewe dau lako unalitupia kwa nani na kwa sababu gani? Toa maoni yako sasa!
Patachimbika !Nyalandu hata akishinda hawezi kutangazwa
Hivi watu mnapenda kupoteza muda, hivi Kitila(Mnyiramba) anaweza kuwa na uthubutu gani kuwania Ubunge kwenye jimbo ambalo 100% ni Wanyaturu, tena Wairwana? Hivi mnaelewa haya makabila mawili yanavyodharauliana au mnaandika tu kufurahisha genge???Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr Lazaro Nyalandu katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika kumchagua mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini baada ya Dr Nyalandu kujiondoa CCM na kujiunga CHADEMA hivi karibuni.
Wataalamu wa masuala ya siasa wanabainisha kuwa CCM wamejithathmini na kuona wamteue Prof Kitila kuwa mgombea wao ili achuane na mgombea wa upinzani, Dr Nyalandu. Sababu zinazopelekea CCM walenge kumteua Prof Kitila ni kutokana na hali ya siasa za Kanda ya Kati ambazo hazitabiriki hata kidogo. Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani, hivyo kuweza kujizolea mashabiki kutoka upande wa upinzani pamwe na upande wa CCM.
Aidha,upande wa CHADEMA nao wanatamba kuibuka washindi katika jimbo hilo kutokana na kuwa na hazina nzuri ya wafuasi, huku wakitarajia kupata "kura za chuki" za kutosha kutoka kwa wanaCCM, hasa wale wanaokerwa jinsi nchi inavyotawaliwa kwa sasa.
MAONI YANGU
Mimi kete yangu naitupia kwa Dr Nyalandu kuibuka na ushindi katika uchaguzi huo mdogo kwa kuwa bado ana wafuasi wa kutosha kutoka upande wa CCM, hasa wale wasioridhishwa jinsi CCM inavyomwandama Dr Nyalandu na kashfa za kutunga huku wakijua fika utumishi wa Dr Nyalandu haujawahi kuwa na doa lolote.
Je, wewe dau lako unalitupia kwa nani na kwa sababu gani? Toa maoni yako sasa!
We unategemea nani atasimama..
Unadhani hatua aliyofikia NYARANDU si kukurupuka amejipanga kwa kuwa anajua uchaguzi utarudiwa na anahitaji la kurudisha nafasi yake
Haaa kwel auTudiandikie mate hali WINO upo!! 2018 haitaisha uchaguzi utafanyika
KabisaCmcm ya 5 ipo tayari kuua bin adam akaacha nyoka kuliko Nyalandu kutangazwa mshindi.