Tetesi: Prof. Kitila Mkumbo kuchuana vikali na Nyalandu jimboni

Msioijua Singida mnahangaika kweli..Kitila Mkumbo hawezi kugombea S.Kaskazini, huko siyo kwao.Kwao ni Iramba..wanyaturu na wanyiramba ingawa si maadui lkn Mkumbo atapata shida mno kupata kura kule kwa wanyaturu..
 
Huyo saizi yetu.atatupa miwani avae tochi ya wanaapolo amtafute Nyalandu kapita wapi.
 
Hata kwa macho tu hauoni ushindi wa nyalandu na jamaa kashafanya kampeni za kutosha tu ila sins hakika kwamba hapo ndio target nadhani bado kuna target IPO.
 
Hapo ndio naamin vyama vyetu vya siasa viongozi wao wanafikiria kwa makalio badala ya vichwa.... hv mtu kang'atuka hata mwez hujafika then mnampa nafas ya kugombea ubunge ... unazani watajisikiaje wale wafia chama
Siasa ni kama mchezo wa karata mkuu. Ukihisi mwenzako anataka kutupa karata fulani, na wewe unabadili karata unatupa ile unayofikiri itamshinda. Kama hiyo match ni kweli, huoni both parties wanawaweka wasio wafia vyama vyao? Hiyo ndo inaitwa kubadili gear angani mkuu.
 
Karibu mkuu wa wizara anaanzaje siasa wakati hajaomba kuacha kazi?
Yeye ni MTENDAJI wa wizara..... Hapo sheria inamziba mdomo kuongelea politics.

Au wajuzi wa mambo mnasemaje?
Subiri uone. Kwani ukatibu mkuu ulimteua wewe, aliyemteua anaamua atengue match inaendelea kama kawaida. Na baada ya match kama "akikosa" anapangiwa kazi nyingine.
 
Hivi Nyarandu kapata lini PhD, au ndiyo ya Akina Maji marefuu?
 
Kwa hiyo nani mwingine mwenye uwezo wa kuchukua hilo jimbo zaidi ya Nyalandu?
Kwa siasa zilivyo sasa hivi Nyalandu anachukua jimbo lake mchana kweupe
Anaogopa huyo, angependa awekwe mtu weak ili CCM ishinde...
 
Nyalandu ataibuka mshindi kama atagombea ila Kitila Mkumbo naona anaandaliwa kwa 2020 kumng'oa mwigulu Iramba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…