Tumbo Tambarare
JF-Expert Member
- May 10, 2017
- 210
- 146
kwa jinsi wanasiasa wanavyotafuta udokta feki watu wengine wanashindwa kutofautisha muheshimiwa na dr.Kawa Dr. Lini?
Wapumbavu wasiojielewa ndio watapoteza muda kujadili sarakasi za siasa!!Kitilaaa!!!
Siasa ni kama mchezo wa karata mkuu. Ukihisi mwenzako anataka kutupa karata fulani, na wewe unabadili karata unatupa ile unayofikiri itamshinda. Kama hiyo match ni kweli, huoni both parties wanawaweka wasio wafia vyama vyao? Hiyo ndo inaitwa kubadili gear angani mkuu.Hapo ndio naamin vyama vyetu vya siasa viongozi wao wanafikiria kwa makalio badala ya vichwa.... hv mtu kang'atuka hata mwez hujafika then mnampa nafas ya kugombea ubunge ... unazani watajisikiaje wale wafia chama
Subiri uone. Kwani ukatibu mkuu ulimteua wewe, aliyemteua anaamua atengue match inaendelea kama kawaida. Na baada ya match kama "akikosa" anapangiwa kazi nyingine.Karibu mkuu wa wizara anaanzaje siasa wakati hajaomba kuacha kazi?
Yeye ni MTENDAJI wa wizara..... Hapo sheria inamziba mdomo kuongelea politics.
Au wajuzi wa mambo mnasemaje?
Amewahi kuwa Rais wa DARUSO.Kitila Mkumbo hajawahi kushinda uchaguzi wowote tangu azaliwe! Ana uzoefu wa kuteuliwa tu!
Kwa hiyo nani mwingine mwenye uwezo wa kuchukua hilo jimbo zaidi ya Nyalandu?Hivi wagombea hakuna cdm,wakimsimamisha nyalandu watakua wajinga kma bashite
Hivi Nyarandu kapata lini PhD, au ndiyo ya Akina Maji marefuu?Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr Lazaro Nyalandu katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika kumchagua mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini baada ya Dr Nyalandu kujiondoa CCM na kujiunga CHADEMA hivi karibuni.
Wataalamu wa masuala ya siasa wanabainisha kuwa CCM wamejithathmini na kuona wamteue Prof Kitila kuwa mgombea wao ili achuane na mgombea wa upinzani, Dr Nyalandu. Sababu zinazopelekea CCM walenge kumteua Prof Kitila ni kutokana na hali ya siasa za Kanda ya Kati ambazo hazitabiriki hata kidogo. Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani, hivyo kuweza kujizolea mashabiki kutoka upande wa upinzani pamwe na upande wa CCM.
Aidha,upande wa CHADEMA nao wanatamba kuibuka washindi katika jimbo hilo kutokana na kuwa na hazina nzuri ya wafuasi, huku wakitarajia kupata "kura za chuki" za kutosha kutoka kwa wanaCCM, hasa wale wanaokerwa jinsi nchi inavyotawaliwa kwa sasa.
MAONI YANGU
Mimi kete yangu naitupia kwa Dr Nyalandu kuibuka na ushindi katika uchaguzi huo mdogo kwa kuwa bado ana wafuasi wa kutosha kutoka upande wa CCM, hasa wale wasioridhishwa jinsi CCM inavyomwandama Dr Nyalandu na kashfa za kutunga huku wakijua fika utumishi wa Dr Nyalandu haujawahi kuwa na doa lolote.
Je, wewe dau lako unalitupia kwa nani na kwa sababu gani? Toa maoni yako sasa!
Nyalandu hata akishinda hawezi kutangazwa
Anaogopa huyo, angependa awekwe mtu weak ili CCM ishinde...Kwa hiyo nani mwingine mwenye uwezo wa kuchukua hilo jimbo zaidi ya Nyalandu?
Kwa siasa zilivyo sasa hivi Nyalandu anachukua jimbo lake mchana kweupe
2015 alikimbizwa balaa na mgombea wa cdm,alishinda kwa nguvu za dola n pesaKwa hiyo nani mwingine mwenye uwezo wa kuchukua hilo jimbo zaidi ya Nyalandu?
Kwa siasa zilivyo sasa hivi Nyalandu anachukua jimbo lake mchana kweupe
Definitely big yes. Why KitilaYupo wapi mshindi wa pili wa CCM kura Za maoni zilizompa ushindi 2010? Nadhani angekuwa right candidate wa chama chetu kupambana na Mh. Nyalandu.
Ccm wakirejea haya wanaweza wakaamua waweke MTU mwingine ambaye amekuwa mwanasisiem kwa muda mrefu zaidi!Anaweza kuongea mengi kama haya;
Mbeleko mbeleko!Bashite siyo mjinga, wangapi wamekwama kwa JPM yeye kapeta?