Kuna diaspora wengi wasomi, wafanyabiashara, na wafanyakazi wenye uzoefu mkubwa ambao wangetoa mawazo bora kwa maendeleo.
Badala ya kutegemea wasomi wa aina ya Mkumbo wanaokariri, ni muhimu kuomba mawazo ya diaspora kwa manufaa ya umma na kuyachanganya na fikra nyingine.
Hawa diaspora wanaishi kwenye nchi ambazo Tanzania inataka kufikia maendeleo yake, hivyo uzoefu wao ni hazina ya thamani kubwa.
Badala ya kutegemea wasomi wa aina ya Mkumbo wanaokariri, ni muhimu kuomba mawazo ya diaspora kwa manufaa ya umma na kuyachanganya na fikra nyingine.
Hawa diaspora wanaishi kwenye nchi ambazo Tanzania inataka kufikia maendeleo yake, hivyo uzoefu wao ni hazina ya thamani kubwa.