Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Huyo mtanikumbuka ndiye mshtakiwa wa kwanza ametuletea hasara kubwa kwa kujifanya shujaa!Mtanikumbuka
Wakati ushauri mbaya unatolewa yeye alikuwa ACT Wazalendo?
Ushaur wa Kishujaa👇..kuna watu wamejenga kwa kuwa ktk Task Force iliyokuwa ikitesa wapinzani.
..kwa mfano Task Force waliweza kutoka Dar kwenda Dom kukamata mbunge wa upinzani na kumsafirisha kuja Dar kwa mahojiano.
..hapo Task Force wanapiga posho ya kuwa nje ya kituo cha kazi, lakini majukumu yao ni kutesa na kudhalilisha Watanzania wenzao.
Kwangu Mimi alichokifanya ni mara 1000 kuliko hasara za uwekezaji tunazozipata Kwa kulipa fidia. Kwa mfano: pale merelani takwimu zilikuwa zinasema kwamba muuzaji mkuu wa madini ayo Ni India inafuatia Kenya na Tanzania ilikuwa Kwa mwaka inapata pesa hisiyozidi billioni kama Kodi...hata Magufuli alitufanya nyumbu.
..kama wawekezaji walikiuka mikataba alitakiwa akimbilie mahakamani.
..alisema ana ushahidi wa madai ya usd 191 billion dhidi ya Acacia/Barrick kwanini hakwenda kushitaki, badala yake akapokea kishika uchumba usd 300 million?
..uwezekano mkubwa alihongwa.
😂😂😂Huyo mtanikumbuka ndiye mshtakiwa wa kwanza ametuletea hasara kubwa kwa kujifanya shujaa!
Sawasawa..Unafiki tu,unafiki tu wahuniiiii hawa
Tumechagua/tumesaidiwa kuchagua, wamejichagua...viongozi wetu pia wamelelewa vibaya kiuongozi.
..mfumo umewadekeza sana kwa kuonea wananchi bila kuwajibika au consequences zozote.
..kwa mfano kiongozi anaweza kutoa uamuzi nyumba za wananchi zivunjwe na kusitokee athari zozote kwake. Na wananchi hawana mahali pa kwenda kulalamika kwasababu viongozi wetu wana-control kila kitu ikiwemo mahakama.
..sasa tabia hizohizo wanakwenda nazo ktk kufanya maamuzi dhidi ya wawekezaji. lakini hawa wawekezaji hawana tabia za kinyonge-nyonge kama Watanzania wa kawaida. Pia wawekezaji wana option ya kwenda kutafuta haki zao nje ya nchi ambako viongozi hawana control au mamlaka.
Kheee..!!! Si angesema tu hawakufuata ushauri wa Lisu..!!..Prof.Kitila anadai Tanzania imeshtakiwa na makampuni ya madini, na mashauri hayo yanapelekea serikali kuingia hasara.
..Prof anadai Wasomi walitoa ushauri ili kuwafurahisha viongozi badala ya kuwaambia ukweli kuhusu madhara ya kuvunja mikataba ya kimataifa.
hivi munajifanya hamukuona yaliyokuwa yanatendeka kwa wale waliokuwa wanakosoa serikali? Mfano T. Lissu.Heshima kwako JokaKuu . Huyu jamaa ni wale wale tu. Haya alitakiwa ayaseme wakati yanafanyika na siyo kusubiri baada ya kuona Magufuli and co hawapo kwenye ulaji ndiyo aseme. Nina uhakika hata Magufuli angekuwepo mpaka sasa asingesema haya. Jamaa nimeshamdharau sana huyu na hana tofauti na hao anaowasema.
Hayo makampuni yalingoja mpaka mwamba aondoke ndio wafungue mashtaka ya kuvunja mikataba ya madini ??!! Wakati akiwa Hai aliyevunja mikataba walikuwa wanamuogopa kumshitaki ??!! Ukistaajabu ya Musa ……….. !! Michongo inakuja !!..Prof.Kitila anadai Tanzania imeshtakiwa na makampuni ya madini, na mashauri hayo yanapelekea serikali kuingia hasara.
..Prof anadai Wasomi walitoa ushauri ili kuwafurahisha viongozi badala ya kuwaambia ukweli kuhusu madhara ya kuvunja mikataba ya kimataifa.
Inaandaliwa michongo hapo ya kupiga pesa !! Nobody cares !Wabaya wa Tanzania sio makampuni ni watanzania wenyewe,umshitaki mtu ambaye bado unamhitaji kuchota Mali kwake na kuneemeka!!!mwenye kichwa kibovu ndo anaweza kuamini. Wapo watanzania nyuma ya haya makampuni .
LISSU alishauri akaonekana msaliti!! Hakuna kitu kibaya kweny maisha kama kupenda sifa! Utajaza circle ya wasifiaji ili wapate kula na chaka watakuingiza!!..Prof.Kitila anadai Tanzania imeshtakiwa na makampuni ya madini, na mashauri hayo yanapelekea serikali kuingia hasara.
..Prof anadai Wasomi walitoa ushauri ili kuwafurahisha viongozi badala ya kuwaambia ukweli kuhusu madhara ya kuvunja mikataba ya kimataifa.
Masikini Kitila! Utawaambia nn walinda legacy wenzako?..Prof.Kitila anadai Tanzania imeshtakiwa na makampuni ya madini, na mashauri hayo yanapelekea serikali kuingia hasara.
..Prof anadai Wasomi walitoa ushauri ili kuwafurahisha viongozi badala ya kuwaambia ukweli kuhusu madhara ya kuvunja mikataba ya kimataifa.
Acheni wajanja wapige pesa !! Maisha ndio haya haya tu ! Ukikipata kitumie ukikikosa kijutie !!Huyo mtanikumbuka ndiye mshtakiwa wa kwanza ametuletea hasara kubwa kwa kujifanya shujaa!
Acheni wajanja wapige mijihela !!Masikini Kitila! Utawaambia nn walinda legacy wenzako?
Tundu Lisu alisema live bila kupepesa macho, alijaribu kuishauli vizuri sana serikali ya Magufuli lkn badala yake wakamgeuza mbuzi wa kafara kwa ujinga waliokuwa wanaufanya.Wakaona zawadi yake ni Risasi za kutosha.Heshima kwako JokaKuu . Huyu jamaa ni wale wale tu. Haya alitakiwa ayaseme wakati yanafanyika na siyo kusubiri baada ya kuona Magufuli and co hawapo kwenye ulaji ndiyo aseme. Nina uhakika hata Magufuli angekuwepo mpaka sasa asingesema haya. Jamaa nimeshamdharau sana huyu na hana tofauti na hao anaowasema.
Tuliona. Lakini Kitila alikuwa yuko mstari wa mbele kusifu na kuponda waliokuwa wanakosoa. Mimi mtu kama Kinana sasa hivi angesema maneno haya nisingeandika hivi kwani angalau alionyesha kuwa hakuunga bogi.hivi munajifanya hamukuona yaliyokuwa yanatendeka kwa wale waliokuwa wanakosoa serikali? Mfano T. Lissu.