Prof. Kitila Mkumbo: Ushauri wa Kishujaa umesababisha Tanzania ishtakiwe katika Mahakama za Kimataifa. Wasomi wetu waliwadanganya Viongozi

Prof. Kitila Mkumbo: Ushauri wa Kishujaa umesababisha Tanzania ishtakiwe katika Mahakama za Kimataifa. Wasomi wetu waliwadanganya Viongozi

Lying is just taking advantage of present time(s), situation and circumstances to hide the truth, yet it is risk in the future when those circumstances, time and situation have changed or no longer exist.
 
..kuna watu wamejenga kwa kuwa ktk Task Force iliyokuwa ikitesa wapinzani.

..kwa mfano Task Force waliweza kutoka Dar kwenda Dom kukamata mbunge wa upinzani na kumsafirisha kuja Dar kwa mahojiano.

..hapo Task Force wanapiga posho ya kuwa nje ya kituo cha kazi, lakini majukumu yao ni kutesa na kudhalilisha Watanzania wenzao.
Ushaur wa Kishujaa👇
Screenshot_20230503-181231_Chrome.jpg
 
..hata Magufuli alitufanya nyumbu.

..kama wawekezaji walikiuka mikataba alitakiwa akimbilie mahakamani.

..alisema ana ushahidi wa madai ya usd 191 billion dhidi ya Acacia/Barrick kwanini hakwenda kushitaki, badala yake akapokea kishika uchumba usd 300 million?

..uwezekano mkubwa alihongwa.
Kwangu Mimi alichokifanya ni mara 1000 kuliko hasara za uwekezaji tunazozipata Kwa kulipa fidia. Kwa mfano: pale merelani takwimu zilikuwa zinasema kwamba muuzaji mkuu wa madini ayo Ni India inafuatia Kenya na Tanzania ilikuwa Kwa mwaka inapata pesa hisiyozidi billioni kama Kodi.

Migodi yote mikubwa ilikuwa inasafirisha madini nje ya nchi bila kufanyiwa uhakiki na ilikuwa inafanya hivyo kutokana na mikataba kwamba madini yakishachibwa serikali haitahusika katika kuhakiki lakini Leo migodi yote madini uchukuliwa plant ikiwa inafahamika kiwango cha uzito mbele ya polisi,afisa madini,tisi na muwakilishi WA migodi.

Migodi Kwa sasa inalazimishwa kuajili wazawa Kwa kila sekta hispokuwa wataamu muhimu kutoka nje na Kwa sasa pia masoko yapo nchini kila wilaya yanayosaidia kuondoa waliokuwa wanapeleka ajila Kenya.

Lakini jaribu kufuatilia kiwango cha uzalishaji na mapato kabla na baada ya marekebisho ya Sheria za madini, Kwa sasa wachimbaji wadogo wamerasimishwa na wanalipa Kodi hawafukuzwi tena kama zamani .

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni magufuli amebadilisha fikla na mitazamo ya walio wengi japo mengi aliyafanya Kwa kutumia common sense ambayo alifanya Kwa kuamini Bora lawama kuliko fedhea.
 
Hasara zilikuwepo nyingi.

Bado safari kama hii waliyotumia ndege ya serikali kufuata dawa walizoishia kunywa wao wawili na tukadanganywa zilizopo zinapelekwa kufanyiwa tafiti na hadi leo yapata miaka 3 hakuna matokeo ya hii juice ya Antananarivo.

Watu kumfurahisha mtu wakasema

"Hii Madagasacar Rais anagawa mwenyewe mtaani"

Hasara tupu.
images (1).jpeg
 
..viongozi wetu pia wamelelewa vibaya kiuongozi.

..mfumo umewadekeza sana kwa kuonea wananchi bila kuwajibika au consequences zozote.

..kwa mfano kiongozi anaweza kutoa uamuzi nyumba za wananchi zivunjwe na kusitokee athari zozote kwake. Na wananchi hawana mahali pa kwenda kulalamika kwasababu viongozi wetu wana-control kila kitu ikiwemo mahakama.

..sasa tabia hizohizo wanakwenda nazo ktk kufanya maamuzi dhidi ya wawekezaji. lakini hawa wawekezaji hawana tabia za kinyonge-nyonge kama Watanzania wa kawaida. Pia wawekezaji wana option ya kwenda kutafuta haki zao nje ya nchi ambako viongozi hawana control au mamlaka.
Tumechagua/tumesaidiwa kuchagua, wamejichagua.


Viongozi/watawala ambao hatuwezi kuwawajibisha Kwa namna yeyote Ile.
 
..Prof.Kitila anadai Tanzania imeshtakiwa na makampuni ya madini, na mashauri hayo yanapelekea serikali kuingia hasara.

..Prof anadai Wasomi walitoa ushauri ili kuwafurahisha viongozi badala ya kuwaambia ukweli kuhusu madhara ya kuvunja mikataba ya kimataifa.


Kheee..!!! Si angesema tu hawakufuata ushauri wa Lisu..!!
 
Heshima kwako JokaKuu . Huyu jamaa ni wale wale tu. Haya alitakiwa ayaseme wakati yanafanyika na siyo kusubiri baada ya kuona Magufuli and co hawapo kwenye ulaji ndiyo aseme. Nina uhakika hata Magufuli angekuwepo mpaka sasa asingesema haya. Jamaa nimeshamdharau sana huyu na hana tofauti na hao anaowasema.
hivi munajifanya hamukuona yaliyokuwa yanatendeka kwa wale waliokuwa wanakosoa serikali? Mfano T. Lissu.
 
..Prof.Kitila anadai Tanzania imeshtakiwa na makampuni ya madini, na mashauri hayo yanapelekea serikali kuingia hasara.

..Prof anadai Wasomi walitoa ushauri ili kuwafurahisha viongozi badala ya kuwaambia ukweli kuhusu madhara ya kuvunja mikataba ya kimataifa.


Hayo makampuni yalingoja mpaka mwamba aondoke ndio wafungue mashtaka ya kuvunja mikataba ya madini ??!! Wakati akiwa Hai aliyevunja mikataba walikuwa wanamuogopa kumshitaki ??!! Ukistaajabu ya Musa ……….. !! Michongo inakuja !!
 
Wabaya wa Tanzania sio makampuni ni watanzania wenyewe,umshitaki mtu ambaye bado unamhitaji kuchota Mali kwake na kuneemeka!!!mwenye kichwa kibovu ndo anaweza kuamini. Wapo watanzania nyuma ya haya makampuni .
Inaandaliwa michongo hapo ya kupiga pesa !! Nobody cares !
 
..Prof.Kitila anadai Tanzania imeshtakiwa na makampuni ya madini, na mashauri hayo yanapelekea serikali kuingia hasara.

..Prof anadai Wasomi walitoa ushauri ili kuwafurahisha viongozi badala ya kuwaambia ukweli kuhusu madhara ya kuvunja mikataba ya kimataifa.


LISSU alishauri akaonekana msaliti!! Hakuna kitu kibaya kweny maisha kama kupenda sifa! Utajaza circle ya wasifiaji ili wapate kula na chaka watakuingiza!!
 
..Prof.Kitila anadai Tanzania imeshtakiwa na makampuni ya madini, na mashauri hayo yanapelekea serikali kuingia hasara.

..Prof anadai Wasomi walitoa ushauri ili kuwafurahisha viongozi badala ya kuwaambia ukweli kuhusu madhara ya kuvunja mikataba ya kimataifa.


Masikini Kitila! Utawaambia nn walinda legacy wenzako?
 
Heshima kwako JokaKuu . Huyu jamaa ni wale wale tu. Haya alitakiwa ayaseme wakati yanafanyika na siyo kusubiri baada ya kuona Magufuli and co hawapo kwenye ulaji ndiyo aseme. Nina uhakika hata Magufuli angekuwepo mpaka sasa asingesema haya. Jamaa nimeshamdharau sana huyu na hana tofauti na hao anaowasema.
Tundu Lisu alisema live bila kupepesa macho, alijaribu kuishauli vizuri sana serikali ya Magufuli lkn badala yake wakamgeuza mbuzi wa kafara kwa ujinga waliokuwa wanaufanya.Wakaona zawadi yake ni Risasi za kutosha.

Wangemsikiliza kama mtaalamu wa sheria au hata kumshirikisha katika Mchakato wote angeleta tija kubwa sana kwa Taifa letu.

Aproach ya Magufuri ilikuwa nzuri sana lakini great thinkers hakutaka kuwashirikisha kwenye Movie yote badala yake akaona atumie watu wa PRAISE & WORSHIP wakampa matokeo mabovu kwelikweli aliyoyataka yeye.
 
hivi munajifanya hamukuona yaliyokuwa yanatendeka kwa wale waliokuwa wanakosoa serikali? Mfano T. Lissu.
Tuliona. Lakini Kitila alikuwa yuko mstari wa mbele kusifu na kuponda waliokuwa wanakosoa. Mimi mtu kama Kinana sasa hivi angesema maneno haya nisingeandika hivi kwani angalau alionyesha kuwa hakuunga bogi.
 
Back
Top Bottom