Prof. Kitila na Machawa, jibuni maswali haya mepesi kuhusu DP World

Hapo Kenya Gachagua keshaondoka wanarudi kwenye Vita ya Mafisadi πŸ˜„
 
T

Tanzania maprofesa ni wachache mno, the best pro ni shiviji, MWANDOSYA, nk ila wengi ni kama dada la saba tu
 
T

Tanzania maprofesa ni wachache mno, the best pro ni shiviji, MWANDOSYA, nk ila wengi ni kama dada la saba tu
Hawa ma prof nimekuwa nawasikiliza sana tena kwenye vitu ninavyo fahamu, (kwa kina), hadi unabaki unashangaa ndiyo hapo nikagundua kwamba kumbe wanapokuwa wanasiasa huwa wanaahirisha kufikiri kwa nafsi.

Changamoto nyingine walionayo walimu wanadhani kila mtu ni mwanafunzi wao, (teachers treat everyone as student )

Mimi naandika kitabu fikirishi cha ujasiriamali ambacho pamoja na kuelekeza jinsi ya kufanya biashara kinaelezea kwa kina kwani biashara zinakufa na nini kifanyike, cha kushangaza katika mambo 5, makuu yanayosababisha biashara zife, yaliyo jificha mojawapo ni maamuzi ya kisiasa

Maamuzi ya kisiasa husababisha biashara zife ama kuendelea kwa mafanikio , lakini yote kwa yote mwenye maamuzi ya mwisho ni jamii yetu ya kanyaga twende ambayo inapokea mawazo chanya na hasi bila ufahamu wa kuyachakata
 
Huyu
Huyu Propesa wanaomfahamu akiwa KM Wizara ya Maji nyakati zawendakuzimu wanasema alikuwa mzuri sana. Sasa ameamua kuwa CHAWA. Ovyo sana sana!
 
Share hili andiko tuongeze maarifa
 
Hapo wanasema Gati Namba 4 hadi 7......sio kweli....DPW.....wamechukua gati zote kuanzia Gati 0.......tumekuwa mazuzu sana......tunadangawa kirahisi sana. πŸ˜€ πŸ˜€
 
Share hili andiko tuongeze maarifa
Sawa ninalo lingine na kuhusu uncertainty, (changamoto), kumbe changamoto nyingi tulizo nazo zinasababishwa na binadamu kwa uchache sana zina sababiashwa na majanga na habari, (information).

Binadamu anaweza kujisababishia changamoto kwa ujinga, uzembe, upumbavu, uvivu na ushamba, binadamu huyu huwasabishia wengine changamoto kwa makusudi ama kwa kutokujua, (bahati mbaya).

Kwa makusudi, wakiwemo watu, wasiojulikana

Lakini changamoto zina faida kubwa sana zina amsha ubongo kuweza kukabiliana na changamoto ubongo unapo fanya hivyo, unaweza jikuta umebuni kitu fulani kuisadia jamii na hata binafsi
 
Huyu profesa wa kutoa ushauri nasaha kwa vichaa wa Mirembe na mambo ya uchumi wapi na wapi?
 
Yani hauna hata uchungu na nchi yako,kweli unauliza swali kama hilo duh wewe una lako jambo si bure,haujui kwamba mwananchi ndo mmiliki wa nchi??
Uchungu tena, unahusu nini?

Kama huujuwi uchungu kamuulize mamako kama alivyokuzaa hajakuzaa kwa kuchanwa tumbo. Ukisikia kakuzaa kwa kuchanwa tumbo, utajaza codes mwenyewe.

AlhamduliLlah sijawahi kuzaa kwa mkasi. Naujuwa uchungu vilivyo. Mpaka na u miss.
 

Yaani siku hizi machawa ni kama vichaa hata vitu vya msingi hawavioni. Usiwalaumu ni watu wapotevu wa kuwaombea.
 
Huyu

Huyu Propesa wanaomfahamu akiwa KM Wizara ya Maji nyakati zawendakuzimu wanasema alikuwa mzuri sana. Sasa ameamua kuwa CHAWA. Ovyo sana sana!
Naam, alikuwa critical sana! Basi mamlaka yanawaharibu sana watu wakakengeuka!!
 
Huyu

Huyu Propesa wanaomfahamu akiwa KM Wizara ya Maji nyakati zawendakuzimu wanasema alikuwa mzuri sana. Sasa ameamua kuwa CHAWA. Ovyo sana sana!
Naam, alikuwa critical sana! Basi mamlaka yanawaharibu sana watu wakakengeuka!!
 
Yaani siku hizi machawa ni kama vichaa hata vitu vya msingi hawavioni. Usiwalaumu ni watu wapotevu wa kuwaombea.
Ukitumia jicho la tatu kumbe tatizo ni jamii yetu ya ya kanyaga twende jamii ambayo haiwezi kuchakata mawazo chanya na hasi
 
Ukitumia jicho la tatu kumbe tatizo ni jamii yetu ya ya kanyaga twende jamii ambayo haiwezi kuchakata mawazo chanya na hasi

Yaani mtu akiwa na utamaduni wako au dini yako kuna wanao amini unatetea hata ujinga.
 
Kinachoshangaza kuchelewa kwa meli kushasha konteina kuko palepale kuna meli ziliwasili tarehe 21/10/2024 leo tarehe 2/11/ bado hazijashusha mzigo yaani siku 10 toka meli iwasili haijapata nafasi ya kushusha, bado mtu anasimama kuwatetea hao DPW.
Haya ni mambo ya ajabu sana
 
Mwabukusi alifunga mpaka Siku tatu mfululizo hakufanikiwa, Leo Ndio waje tu wakujibu wewe kirahisi, Ntaacha kutumia JF...!!
 
We
Kinachoshangaza kuchelewa kwa meli kushasha konteina kuko palepale kuna meli ziliwasili tarehe 21/10/2024 leo tarehe 2/11/ bado hazijashusha mzigo yaani siku 10 toka meli iwasili haijapata nafasi ya kushusha, bado mtu anasimama kuwatetea hao DPW.
We lofa unaota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…