Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amewataka wale waliokuwa wakipinga mkataba wa uwekezaji wa kampuni ya DP World katika Bandari ya Dar es Salaam kujitokeza hadharani ili kukiri mafanikio yaliyopatikana kutoka na uwekezaji huo. Prof. Kitila ametoa kauli...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amewataka wale waliokuwa wakipinga mkataba wa uwekezaji wa kampuni ya DP World katika Bandari ya Dar es Salaam kujitokeza hadharani ili kukiri mafanikio yaliyopatikana kutoka na uwekezaji huo. Prof. Kitila ametoa kauli...
We
We IQ yako ni ndogo sana usisumbue watu pambana na uwezo wako mdogo. Km elimu yote iliyotolewa leo unauliza vt vya ajabu nani akusaidie. We ndio wa ajabu kutokea duniani.
Msaidie kujibu maswali wewe akili kubwa😂 mawili tu. Wasomi wa mchongo mchongo na uchawa jibuni hayo maswali matusi hayasaidii mtu yeyote. Uchawa uchawa ni janga la taifa
Wasomi gani wanategemea serikali kujitajirisha . Sisi hatutegemei serikali na uchawa!
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amewataka wale waliokuwa wakipinga mkataba wa uwekezaji wa kampuni ya DP World katika Bandari ya Dar es Salaam kujitokeza hadharani ili kukiri mafanikio yaliyopatikana kutoka na uwekezaji huo. Prof. Kitila ametoa kauli...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amewataka wale waliokuwa wakipinga mkataba wa uwekezaji wa kampuni ya DP World katika Bandari ya Dar es Salaam kujitokeza hadharani ili kukiri mafanikio yaliyopatikana kutoka na uwekezaji huo. Prof. Kitila ametoa kauli...
Eti Siri za biashara! Unafikiri kwa kutumika ogani gani ajuza wa kigamboni? Hiyo biashara ni ya umma wa watanganyika au ya familia yako?
Kumbe ukizeeka na uwezo wa kufikiri unaanguka Kama network ya voda!
Ndiyo maana Rais Mpya ( Mteule wa Botswana) aliwahi kuwaita Wahadhiri wa nchini kwake kuwa ni hopeless kisa ni huo uchawa kwa serikali na kuongea vitu kama laymen. Kitila ni worst professor ever witnessed in this country. Anadhalilisha rank za professors wengine wachahche wenye kujitambua .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.