The Last Man Standing
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 475
- 525
Add the name of Baregu !T
Tanzania maprofesa ni wachache mno, the best pro ni shiviji, MWANDOSYA, nk ila wengi ni kama dada la saba tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Add the name of Baregu !T
Tanzania maprofesa ni wachache mno, the best pro ni shiviji, MWANDOSYA, nk ila wengi ni kama dada la saba tu
Hawa chawa wa CCM wajifunze kilichotokea kwa majirani zetu week hii Chama tawala kwa zaidi ya miaka 58 madarakani kimedondoshwa katika kura na sasa ndio kwa heri. So it is a matter of time also for this group hapa kwetuHakuna utani hapo, kuna Kiswahili.
Kama unaweza panda juu nenda ukazibe.
Hakuna utani hapo, kuna Kiswahili.Faiza acha kuleta mzaha kwamba uchungu wa nchi na wakuzaa ni sawa? unatetea uharibifu.?
Kama unaweza panda juu nenda ukazibe.Nyie fanyeni uchawa Mama yuko na family yake USA wanatafuta deals 😂 Yaani ukiwa na deal Abdul anapokea simu
Ilianza AA ikaja TAA ikaja TANU sasa CCM, kitakuja na kingine tu hilo usiwe na wasiwasi nalo kabisa.Hawa chawa wa CCM wajifunze kilichotokea kwa majirani zetu week hii Chama tawala kwa zaidi ya miaka 58 madarakani kimedondoshwa katika kura na sasa ndio kwa heri. So it is a matter of time also for this group hapa kwetu
Ubunge wenyewe kasaidiwa na Jiwe ..kuna mtu humo ndugu?Hapo ndipo utaona kuwa elimu ya nchi hii ni bure kabisa.
Profesa anaongea pumba kuzidi pumba za Steve Mengele (kilaza wa darasa la 2).
Nani atamzuia? Umesahau kuna kiongozi alisema ushindi unategemea anayehesabu kura na sio idadi ya kura... tafakari...Huyo Prof. yeye ajue 2025 hayupo mjengoni.
Huyu Steve ni yule amepigwa marufuku kutumia jina? Kumbe ni darasa la 2 B?Hapo ndipo utaona kuwa elimu ya nchi hii ni bure kabisa.
Profesa anaongea pumba kuzidi pumba za Steve Mengele (kilaza wa darasa la 2).
Kwani mkataba wa TICTS na TPA ulikuwa ni wa miaka mingapi?, mbona mwaka 2020 walivunjiwa huo mkataba?.Tanzania ni nchi ya ajabu unakuta Pro wa chuo naye ni chawa badala ya kujibu hoja!. Kama huna jibu sema hujui sio kuuliza swali badala ya kujibu!
1. Mkataba wa DP World ni wa miaka mingapi? wa muda gani?
2. DP world inapataje mapato yake kwenye mkataba? Yaani ni tozo zipi na asilimia ngapi zinaenda kwa DP world
Prof Kitila: Waliopinga DP World Wakiri Mafanikio Yake Hadharani
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amewataka wale waliokuwa wakipinga mkataba wa uwekezaji wa kampuni ya DP World katika Bandari ya Dar es Salaam kujitokeza hadharani ili kukiri mafanikio yaliyopatikana kutoka na uwekezaji huo. Prof. Kitila ametoa kauli...www.jamiiforums.com
Kwa taarifa yao ni kwamba huyo Adani ndiye anayeendesha magati yenye faida zaidi kuliko DPW, lakini wabongo kwa sababu vichwa vyetu vinakaririshwa upuuzi tumejikita kumuongelea zaidi DPW na kupoteza nguvu na muda wetu mwingi bila sababu.Wewe nyumbu Achaga ujinga,wakati Serikali inajadiliana na DP World Hadi kusaini mkataba ulikuwa busy kuropoka na kueneza uzushi bila kufuatilia mantiki ya jambo lenyewe.
Sasa unaturudisha nyumba wakati tulishamaliza na Sasa tunakula matunda.👇👇
View attachment 3141211
Mwisho hapo bandarini Yuko pia Adani ila Mko busy na DP World kisa chuki binafsi Kwa mwaarabu.
Unfortunately biashara haihitaji chuki.
Wewe mwenye uchungu na nchi hii umeifanyia kipi cha maana zaidi ya kulialia tu mitandaoni?.Yani hauna hata uchungu na nchi yako,kweli unauliza swali kama hilo duh wewe una lako jambo si bure,haujui kwamba mwananchi ndo mmiliki wa nchi??
Kitila ni waziri muda huu na mbunge, wewe unapiga makelele ya kukosoa na hakuna anayeujua ufanisi wako ukipewa nafasi ni wa kiwango gani!.Ndiyo maana Rais Mpya ( Mteule wa Botswana) aliwahi kuwaita Wahadhiri wa nchini kwake kuwa ni hopeless kisa ni huo uchawa kwa serikali na kuongea vitu kama laymen. Kitila ni worst professor ever witnessed in this country. Anadhalilisha rank za professors wengine wachahche wenye kujitambua .
Tanzania ni nchi ya ajabu unakuta Pro wa chuo naye ni chawa badala ya kujibu hoja!. Kama huna jibu sema hujui sio kuuliza swali badala ya kujibu!
1. Mkataba wa DP World ni wa miaka mingapi? wa muda gani?
2. DP world inapataje mapato yake kwenye mkataba? Yaani ni tozo zipi na asilimia ngapi zinaenda kwa DP world
Prof Kitila: Waliopinga DP World Wakiri Mafanikio Yake Hadharani
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amewataka wale waliokuwa wakipinga mkataba wa uwekezaji wa kampuni ya DP World katika Bandari ya Dar es Salaam kujitokeza hadharani ili kukiri mafanikio yaliyopatikana kutoka na uwekezaji huo. Prof. Kitila ametoa kauli...www.jamiiforums.com