Prof. Kitila na Machawa, jibuni maswali haya mepesi kuhusu DP World

Wewe nawe tafuta kazi za kufanya hizo zilipendwa.
 
Faiza acha kuleta mzaha kwamba uchungu wa nchi na wakuzaa ni sawa? unatetea uharibifu.?
 
Hapo ndipo utaona kuwa elimu ya nchi hii ni bure kabisa.

Profesa anaongea pumba kuzidi pumba za Steve Mengele (kilaza wa darasa la 2).
Ukweli wote anaujua. Ila akiusema jinsi ulivyo atatumbuliwa!
 
Kitila Mkumbo ni moja ya maprofesa wa hovyo kabisa na aibu kwa jamii ya wasomi wa Tanzania.
 
We
We IQ yako ni ndogo sana usisumbue watu pambana na uwezo wako mdogo. Km elimu yote iliyotolewa leo unauliza vt vya ajabu nani akusaidie. We ndio wa ajabu kutokea duniani.

Msaidie kujibu maswali wewe akili kubwa😂 mawili tu. Wasomi wa mchongo mchongo na uchawa jibuni hayo maswali matusi hayasaidii mtu yeyote. Uchawa uchawa ni janga la taifa

Wasomi gani wanategemea serikali kujitajirisha . Sisi hatutegemei serikali na uchawa!
 
. DP world inapataje mapato yake kwenye mkataba? Yaani ni tozo zipi na asilimia ngapi zinaenda kwa DP world📍🔨
 
. DP world inapataje mapato yake kwenye mkataba? Yaani ni tozo zipi na asilimia ngapi zinaenda kwa DP world📍🔨
 
Hizo ni siri za biashara uambiwe wewe kama nani kwenye hii biashara?
Eti Siri za biashara! Unafikiri kwa kutumika ogani gani ajuza wa kigamboni? Hiyo biashara ni ya umma wa watanganyika au ya familia yako?
Kumbe ukizeeka na uwezo wa kufikiri unaanguka Kama network ya voda!
 
Hapo ndipo utaona kuwa elimu ya nchi hii ni bure kabisa.

Profesa anaongea pumba kuzidi pumba za Steve Mengele (kilaza wa darasa la 2).
Ndiyo maana Rais Mpya ( Mteule wa Botswana) aliwahi kuwaita Wahadhiri wa nchini kwake kuwa ni hopeless kisa ni huo uchawa kwa serikali na kuongea vitu kama laymen. Kitila ni worst professor ever witnessed in this country. Anadhalilisha rank za professors wengine wachahche wenye kujitambua .
 
Reactions: G4N
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…