Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwani alisha acha kuwa mwana ccm?Natabiri babu slaa naye kwenda act, pindi tu akataporudi nchini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alisha acha kuwa mwana ccm?Natabiri babu slaa naye kwenda act, pindi tu akataporudi nchini
Mkuu naomba kujuzwa tofauti ya ccm na act
Wewe wasema!Huko ndiyo kutamfaa sana na sasa timu itakuwa imekamilika haswa na act sasa wajiandae kukikosa hata kile kiti kimoja cha ubunge
Anamfuata mnafiki mwenzie zito yetu machoHahahaaa huko kunamfaa
WanaJF
Kuna tetesi zinasambaa kwa kasi kwamba aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha CUF Prof Ibrahim Lipumba anajiandaa wakati wowote kutoka sasa kutangaza kujiunga na ACT Wazalendo
Taarifa hizo zinazidi kubainisha kwamba mara atakapojiunga Mwenyekiti wa chama hicho Anna Mgwira atajiuzulu nafasi hiyo ili kumpisha Lipumba
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde
Si rahisi kwa kuwa yeye ni padre wa kikatoliki wakati Lipumba hataki hilo. Refer maongezi ya msikitini Vs ushindi wa mnyika!Natabiri babu slaa naye kwenda act, pindi tu akataporudi nchini
Mkuu Molemo, asante kwa Taarifa, Prof. Lipumba kisiasa ni spent force, Zitto anamkaribisha tuu ili kumtumia kama mtaji kwa kuwavuta wale wafuasi wake bendera fuata upepo ili aipasue CUF na kuiimarisha ACT kwa kupanua wigo wa membership base tuu lakini kiukweli Lipumba hana lolote jipya atakalofanya CUF kwa sababu Uenyekiti wa ACT, ni uenyekiti kilemba cha ukoka tuu, all the powers lies with ZZK, Lipumba kwa vile ni power monger, can't stand kufanywa boya hivyo he will demand real powers na hapo ndipo itakapoibuka vita na mwenye chama chake! .WanaJF
Kuna tetesi zinasambaa kwa kasi kwamba aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha CUF Prof Ibrahim Lipumba anajiandaa wakati wowote kutoka sasa kutangaza kujiunga na ACT Wazalendo
Taarifa hizo zinazidi kubainisha kwamba mara atakapojiunga Mwenyekiti wa chama hicho Anna Mgwira atajiuzulu nafasi hiyo ili kumpisha Lipumba
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde
Ndiyo nimesemaWewe wasema!
Msaliti+msaliti=?WASALITI
Usaliti uko hivyo mkuu , ni lazima ukudhalilishe kwanza , ndio Mungu alivyopanga .Hivyo ndivyo alipaswa kufanya mapema kabisaa ila kulinda heshima yake.
Hapo kina mcubic wajiandae kufukuzwa tuAnamfuata mnafiki mwenzie zito yetu macho
Babu atarejea tuu nyumbani kwake alikotokea na sio ACT.Natabiri babu slaa naye kwenda act, pindi tu akataporudi nchini
Msaliti Ni Mbowe kwa kumchukua fisadi papa na namba moja Tz mzee wa RichmondeWASALITI
Sentensi ya mwisho najiulizaga kila siku.Mkuu Molemo, asante kwa Taarifa, Prof. Lipumba kisiasa ni spent force, Zitto anamkaribisha tuu ili kumtumia kama mtaji kwa kuwavuta wale wafuasi wake bendera fuata upepo ili aipasue CUF na kuiimarisha ACT kwa kupanua wigo wa membership base tuu lakini kiukweli Lipumba hana lolote jipya atakalofanya CUF kwa sababu Uenyekiti wa ACT, ni uenyekiti kilemba cha ukoka tuu, all the powers lies with ZZK, Lipumba kwa vile ni power monger, can't stand kufanywa boya hivyo he will demand real powers na hapo ndipo itakapoibuka vita na mwenye chama chake! .
Hivi Prof. Lipumba ni lazima tuu awe Mwenyekiti? . Hawezi kuwa mwanachama tuu wa kawaida?!.
Pasco
Alitokea ccm na bado yupo ccmBabu atarejea tuu nyumbani kwake alikotokea na sio ACT.
Pasco
Hivi kumbe lowasa ni fisadi papa? Inakuwaje hajashitakiwaMsaliti Ni Mbowe kwa kumchukua fisadi papa na namba moja Tz mzee wa Richmonde