Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Status
Not open for further replies.
Kuna kikao kinaendelea sasa hivi makao makuu ya chama cha ACT Wazalendo cha kumpokea Prof. Lipumba.

Karibu sana Prof. Lipumba kwenye chama.
Hongera Pro. Lipumba, kwa kujitambua " Birds of same Feathers", Hivyo ACT lazima wakupe Uenyekiti " uliouzowea" la sivyo haitanoga. Au bora nenda ADC kwa Hamad Rashid lakini huko usiliie cheo,hupati na hawakupi.
 
Zitto, Lipumba na Slaa walikuwa watu wa ccm kitambo sasa kama wataungana sijui itakuwa ni ccm 2! Wanajua wenyewe...
 
Le professeri kwy ubora wake! Daah Tanzania itahadithia ilivyo na wanasiasa wa ajabu ajabu
 
Bro nani hapendi madaraka!
Nijibu swali hili, Lowassa alipohamia CDM ilikuwa lazima yeye ndo agombee urais kupitia CDM? Kwa nini hakukubali kuwa mwanachama wa kawaida? Kuna tofauti gani ya hiki unachokiponda hapa na alichokifanya Lowassa?
Au kwa vile Lowassa baba yako, bila yeye mkono hauingii kunako!
Au Mbowe, mbona ni yeye tu kwenye uenyekiti?

Nyani haoni kundule.....

Wanasiasa wote ni power mongers
 
Ndio Prof Lipumba lazima afie kwenye kiti,lazima agombee uRais hilo liko wazi jamaa yuko kimaslahi zaidi.

Zitto yuko kimkakati zaidi,yeye ni Kiongozi mkuu nguvu zote za chama ziko chini yake nafasi ya mwenyekiti ACT ni sawa na katibu mwenezi unapiga parapanda weeee mwisho wa siku Kiongozi Mkuu ndio mwenye kauli ya mwisho.

Prof Lipumba na Zitto lazima wataparangana kwasababu kila mmoja atapenda kugombea urais,kila mmoja atapenda ukuu wa chama na kuwa na kauli ya mwisho katika masuala yote ya chama.

Kwanini Zitto kakubali kumpokea Prof Lipumba,Mosi anajua ACT ipo Kigoma tu haina anafsi ya kufurukuta katika siasa za Tanganyika.Prof ana uzoefu wa fitna za siasa ana weza kuleta base kubwa ya wanachama wasiofikiri hasa wale wanywa ghahawa washinda vibarazani.Anafahamu kanda ya kusini hasa pwani CUF ilikuwa na base kubwa sana ya wanachama yamkini Prof anaweza kuondoka nayo.
Mkuu Ngongo, uko right ila kwenye kugombea uenyekiti hauko sawa! . Zitto hawezi kugombea kwa kubahatisha unless awe ndie mgombea pekee wa upinzani! . Atampokea Lipumba ili kumtumia tuu sababu Lipumba anagombeaga ili kugombea tuu na sio ili kushinda! . Mtu amegombea mara 4 na hakuwahi kupata hata asilimia moja tuu! ,na bado anasusa mtu mwingine kugombea!. Sasa Zitto atamtumia kwa hilo! .
Kwa vile Lipumba hana shughuli nyingine yoyote ya kufanya zaidi ya siasa, itabidi akubali kutumika na awe mdogo! .

Pasco
 
Watu wakisema Tanzania hakuna upinzani mnaona kama mandondocha sijui mnataka muoneshwe na nini.
Unafiki njaa Kali na uchu wa madaraka ndivyo vinavyoua upinzani.
Sishangai hili
 
Chamsingi kama walipanda kwa hila their time is due wanavuna kwa hila ile ile isipokuwa principle ya kupanda na kuvuna huwa tofauti kidogo. Usually mbengu huwa chache sana mavuno huwa thelathini, sitini mpaka mia hencefold ukilinganisha na mbegu
 
safi sana....hapo ndio saaafi ...waache waende huko
 
Njama za kumtumia kuvuruga CUF zimeshindwa,hongera wana Cuf kwa msimamo thabiti
 
Ni haki yake. Asigombanie tena uwenyekiti na huko.
 
Tatzo liko wapi? Kama Lowassa yule, yule aliyeitwa majina yote mabaya na CDM alihamia CDM na ndani ya siku chache akateuliwa kupeperusha Bendera ya CDM kuna ubaya gani Prof. Kuhama CUF kama hajaridhika na maamuzi kama ilivyokuwa kwa Lowassa.
Anyway, hw sure are you that Lowassa's move to CDM wasn't a decoy? Au unaongea tu baada ya kura maharage cjui ya wapi!
Kwanza inapaswa kuwa 'kula' na si 'kura' na kwenye comment yangu hakuna popote niliposhabikia kuhamia kwa Lowassa CHADEMA. If it does happen that Lowassa's move was a decoy as well ita confirm point yangu zaidi juu ya mchezo mchafu wa CCM na dhihaka ya demokrasia inayowafanywa TZ. That being said we all are entitled to our opinions kwa vile tu huafikiani na mtazamo wangu hakukufanyi uwe sahihi.
 
Ndio Prof Lipumba lazima afie kwenye kiti,lazima agombee uRais hilo liko wazi jamaa yuko kimaslahi zaidi.

Zitto yuko kimkakati zaidi,yeye ni Kiongozi mkuu nguvu zote za chama ziko chini yake nafasi ya mwenyekiti ACT ni sawa na katibu mwenezi unapiga parapanda weeee mwisho wa siku Kiongozi Mkuu ndio mwenye kauli ya mwisho.

Prof Lipumba na Zitto lazima wataparangana kwasababu kila mmoja atapenda kugombea urais,kila mmoja atapenda ukuu wa chama na kuwa na kauli ya mwisho katika masuala yote ya chama.

Kwanini Zitto kakubali kumpokea Prof Lipumba,Mosi anajua ACT ipo Kigoma tu haina anafsi ya kufurukuta katika siasa za Tanganyika.Prof ana uzoefu wa fitna za siasa ana weza kuleta base kubwa ya wanachama wasiofikiri hasa wale wanywa ghahawa washinda vibarazani.Anafahamu kanda ya kusini hasa pwani CUF ilikuwa na base kubwa sana ya wanachama yamkini Prof anaweza kuondoka nayo.
Mlizungumza haya kwa Lowassa wakati yupo ccm, sasa hivi mnamsafisha.

Lipumba ana haki ya kuhamia chama chochote kile....mengineyo ni kejeli tu dhidi yake.

Mnasema Lipumba anang'ang'ania uenyekiti, ila Mbowe hang'ang'anii uenyekiti.

This is double standard
 
Bro nani hapendi madaraka!
Nijibu swali hili, Lowassa alipohamia CDM ilikuwa lazima yeye ndo agombee urais kupitia CDM? Kwa nini hakukubali kuwa mwanachama wa kawaida? Kuna tofauti gani ya hiki unachokiponda hapa na alichokifanya Lowassa?
Au kwa vile Lowassa baba yako, bila yeye mkono hauingii kunako!
Usimlinganishe Prof. Lipumba na Lowasa! ,Lowassa alukuwa mtaji, ameingia Chadema na mtaji mkubwa, he was an asset wakati Lipumba ni liability anajiunga ili apate pa kuponea! .Zitto ni mjaamaa sijui lengo la Lipumba kutafuta pa kuponea kama litatimia huko ACT! .

Kwa taarifa tuu ila usiseme ni mimi ndio nimekuambia! ,2015 aliyeshinda ni mwingine ila aliyetangwazwa ni mwingine! .

Pasco
 
Ndio Prof Lipumba lazima afie kwenye kiti,lazima agombee uRais hilo liko wazi jamaa yuko kimaslahi zaidi.

Zitto yuko kimkakati zaidi,yeye ni Kiongozi mkuu nguvu zote za chama ziko chini yake nafasi ya mwenyekiti ACT ni sawa na katibu mwenezi unapiga parapanda weeee mwisho wa siku Kiongozi Mkuu ndio mwenye kauli ya mwisho.

Prof Lipumba na Zitto lazima wataparangana kwasababu kila mmoja atapenda kugombea urais,kila mmoja atapenda ukuu wa chama na kuwa na kauli ya mwisho katika masuala yote ya chama.

Kwanini Zitto kakubali kumpokea Prof Lipumba,Mosi anajua ACT ipo Kigoma tu haina anafsi ya kufurukuta katika siasa za Tanganyika.Prof ana uzoefu wa fitna za siasa ana weza kuleta base kubwa ya wanachama wasiofikiri hasa wale wanywa ghahawa washinda vibarazani.Anafahamu kanda ya kusini hasa pwani CUF ilikuwa na base kubwa sana ya wanachama yamkini Prof anaweza kuondoka nayo.
Dua la kuku........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom