Daata
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 4,673
- 1,875
Ndio hapo atakapoivuruga barabaraOle wao 2020 wasipomsimamisha kuwania nafasi ya Urais watamjua yeye ni nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hapo atakapoivuruga barabaraOle wao 2020 wasipomsimamisha kuwania nafasi ya Urais watamjua yeye ni nani
Lowassa hakuwa CCM, na wenyewe wanamuita muungwana.Zitto, Lipumba na Slaa walikuwa watu wa ccm kitambo sasa kama wataungana sijui itakuwa ni ccm 2! Wanajua wenyewe...
Chama kama gereji bubu yaani ACT ni uchochoro wa watu kama kina Lipumba hana hata Impact mtu ambae hajawahi fikisha hata 1% kwenye uchaguziMlizungumza haya kwa Lowassa wakati yupo ccm, sasa hivi mnamsafisha.
Lipumba ana haki ya kuhamia chama chochote kile....mengineyo ni kejeli tu dhidi yake.
Mnasema Lipumba anang'ang'ania uenyekiti, ila Mbowe hang'ang'anii uenyekiti.
This is double standard
mkuu acha hasira jiandae kumpokea Lipumba kwa vifijo na nderemoCDM wanafikiri wao pekee ndio wana haki miliki ya kuwa wapinzani
Alipokuwa cuf ilikuwa haina nguvu kama alivyojiuzulu huyu ni mchumia tumbo tuuHakika hata kama watu wapige vijembe kiasi gani ila ukweli ni kwamba Lipumba ataongeza nguvu ACT kwa kiasi kikubwa sana.
Akiacha usaliti lbdHakika hata kama watu wapige vijembe kiasi gani ila ukweli ni kwamba Lipumba ataongeza nguvu ACT kwa kiasi kikubwa sana.
Uchaguzi ukikaribia atajiuzuluHahahaaa huko kunamfaa