Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Status
Not open for further replies.
Zitto na Prof. Lipumba leo mnawaita Mbwa na Paka? ama kweli hamana shukrani, fedheha hizi ndizo Dr. Slaa hakupenda akutane nazo kabisa.


Nimesema wapi Lipumba na Zitto ni.mbwa na paka? Hebu niambie nani kati yao mbwa na paka kwa mujibu wa msemo wangu? Na Dr Slaa katokea wapi? Kama hujui tamathali za semi bora ukae kimya
 
Kuna kikao kinaendelea sasa hivi makao makuu ya chama cha ACT Wazalendo cha kumpokea Prof. Lipumba.

Karibu sana Prof. Lipumba kwenye chama.
itakuwa jambo la maana sana . kwa CUF kwao itakuwa wamemaliza fitina. ila sasa!! tahadhari kwa ACT japo tunajua hiki chama kilianzishwa kwa malengo yaleyale lkn angalizo tu muwe makini.
 
Usimlinganishe Prof. Lipumba na Lowasa! ,Lowassa alukuwa mtaji, ameingia Chadema na mtaji mkubwa, he was an asset wakati Lipumba ni liability anajiunga ili apate pa kuponea! .Zitto ni mjaamaa sijui lengo la Lipumba kutafuta pa kuponea kama litatimia huko ACT! .

Kwa taarifa tuu ila usiseme ni mimi ndio nimekuambia! ,2015 aliyeshinda ni mwingine ila aliyetangwazwa ni mwingine! .

Pasco

Asante kwa taarifa na kwa kuthibitisha mahaba yako kwa mzee!
Pili angalia ulichoandika mwanzo hukuzungumzia issue za asset au liability bro! Unahoji kwani Prof. Lazima awe kiongoz? Na mm nauliza kwani ilikuwa lazima Mzee agombee yeye? Swala la whether he was an asset or liability alishalijibu siku nyingi Dr.Slaa( siku hizi mnamuita Dr.Mihogo).
Anyway, namimi nikuibie siri na usiwambie wanaCDM, hata mwaka 2010 alishinda Dr.Slaa ila hakutangazwa sisi wana CDM ikabidi tumuite tu Rais wa mioyo yetu.

Ila baadae tukafanya kituko kimoja, 2015 tukamtosa Slaa aliyemushinda a serving president 2010 na tukamchagua Fisadi aliyekubuhu( kwa mjibu wa wana CDM) kugombea urais akiwa na siku tatu ndani ya chama ili apambane na mgeni Magufuli! Usiwambie maana hii ni record na tulistahili kuingia kwenye kile kitabu maarufu ya historia duniani!
Hili nalo usiwambie, pamoja na kushinda uchaguzi wa mwaka huu, na tayari ss tunamuita Rais wa mioyo yetu 2020 hatutampa nafasi ya kugombea kupitia CDM!

Tafadhali usiwambie wenyewe! Hii siri anajua Mbowe tu, kama alivyoijua ile ya Mzee kujiandaa kugombea kupitia CDM!
Bro, Pasco usiniambie uliweza kumjua mgombea wa CCM kabla ya mchakato wa Dodoma ila hukumjua mgombea wa CDM kabla ya mchakato wa Ufipa, hapa utakuwa umeniangusha!
 
Kama habari inavyosema ni tetesi,lakini kama ni kweli afadhali umeachana na chama mtu 1 ndio mwenye kauli pongezi ulivyowaepuka sultan dikteta na chama chake,tunategemea kuona ACT yenye nguvu!
 
Sasa mbona kama nilisikia vikao haviruhusiwi au tamko ndio lishabatilishwa
 
Sasa kuhama chama lazima avuruge aliko toka.....si angendelea na mpango wake tu wa kuhama bila kuwabughuzi wanzake.
 
Prof Lipumba kahamia wazalendo kwa zitto ngoja tumsubiri Dr slaa nayeye anakuja soon
 
Lipumba , kitila, na zitto ukijumlisha na anna, nj hazina za kutosha, hapo bado lowassa 2020 anaamia Kule maana mile chama chake, kina mnyika. Na sakaya pia
 
Akiwa mwenyekiti asije kujisahau akaanza kusema '' Hakiiiiiiiiiiii.......! mara nyang'a nyang'aaaaaaaaaa!!!!! chaliiiiiiiiiiiiiiii... kifo cha mendeeee'' yanawatokeaga haya kama mwenzake yuleee Mh.
 
Prof njaa imekuwa kali ameona atafute pa kujishikiza...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom