Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,454
- 11,029
🙁🙁Sema haki ya mungu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji134] [emoji134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙁🙁Sema haki ya mungu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji134] [emoji134]
D pass hongera sana, mi nilipata A lakini nalima viazi, haijanisaidia...basi tu tunachangamsha barazaKiswahili nilipata D
A[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]D pass hongera sana, mi nilipata A lakini nalima viazi, haijanisaidia...basi tu tunachangamsha baraza
hata sikumbuki jamaa yangu, sasa hivi nishazeeka nalima na wajukuuA[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
ok by ze way ulitaka ufanye nin.???
Kwahiyo CUF imekufa?Sasa vurugu zote zile alikua anataka kuua chama ndo aondoke?
Viaz gan ivyo vitam o mviringo...???hata sikumbuki jamaa yangu, sasa hivi nishazeeka nalima na wajukuu
gairo viazi vitamuViaz gan ivyo vitam o mviringo...???
wap...??
Tusubiri tuone..hii bado ni season oneWadau,
Katika kile kinachoonekana kwa mwenyekiti wa zamani wa Chama Cha Wananchi (CUF) kuipenda nafasi hiyo ambayo huenda alikula kiapo kwamba hadi allah atakapomuita basi aondoke akiwa katika nafasi hiyo ya uenyekiti, haijalishi ni wapi ila awe mwenyekiti tu! Yaani iwe kwenye siasa, vyama vya kijamii (kufa na kuzikana) au kwenye vigodoro lazima awe mwenyekiti tu!
Leo ameibukia hukooo kwa kiongozi mkuu wa chama, Hukooo! kwenye chama cha wazalendo ACT kwa lemgo la kuungana na akina M1, M2, sijui na nani mwingine vile. Vyanzo vya karibu vinatonya kuwa huko nako anataka uenyekiti. Sasa najiuliza Iron Lady aliyepeperusha bendera kwa nafasi ya Urais na kuweka historia ya kuwa mwanamke pekee Tanzania aliyegombea nafasi hiyo katika uchaguzi uliopita wa Rais, Wabunge na Madiwani. Je atakubali kumpisha Mzee wa Intarahamwe ili ashike usukani???????.....
Move ndo kwanza inaanza!!!!
Tusubiri Babu na yeye sijui atakuja na song la kutaka ukatibu!!!!!!!!
NATABIRI AKIHAMIA HUKO TUTAMFUATA WENGI CUF ITABAKI KAMA NCCRKwahiyo CUF imekufa?
Daah mkuu nmesema alikua anataka kuua cjasema ameua chief aisee!Kwahiyo CUF imekufa?
thenHakika hata kama watu wapige vijembe kiasi gani ila ukweli ni kwamba Lipumba ataongeza nguvu ACT kwa kiasi kikubwa sana.
tuseme CUF sio baba yake wala mama yakeSi vibaya ni haki yake - watu wasipopata maendeleo ndani ya CUF watayatafuta kwingine.
Na mimi nitamshauri Mh. Zitto tuhamie CCMKuna kikao kinaendelea sasa hivi makao makuu ya chama cha ACT Wazalendo cha kumpokea Prof. Lipumba.
Karibu sana Prof. Lipumba kwenye chama.