Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Duhh,unamaana CHAGADEMAACT-Wazalendo pazuri ili waimarishe upinzani, hawa wachagga tumeshawachoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhh,unamaana CHAGADEMAACT-Wazalendo pazuri ili waimarishe upinzani, hawa wachagga tumeshawachoka.
We nae zero kweliOle wao 2020 wasipomsimamisha kuwania nafasi ya Urais watamjua yeye ni nani
Hili BAVOCHA hawalioni,si unajua akili za nyumbuzzzzz,akielekea mmoja wote wanafuata.Tatzo liko wapi? Kama Lowassa yule, yule aliyeitwa majina yote mabaya na CDM alihamia CDM na ndani ya siku chache akateuliwa kupeperusha Bendera ya CDM kuna ubaya gani Prof. Kuhama CUF kama hajaridhika na maamuzi kama ilivyokuwa kwa Lowassa.
Anyway, hw sure are you that Lowassa's move to CDM wasn't a decoy? Au unaongea tu baada ya kura maharage cjui ya wapi!
Upo sahihi!Wapinzani wa TZ ni hovyo hovyo sana ndiyo yale yale ya akina Mbowe tuandamane sisi na kuwekwa mahabusu lkn wakipata nafasi za uteuzi wanawapa hadi mahawala wao bila kujali mawazo yetuNimecheka sana,ingawa ukishaingia kwenye siasa inakupasa uvuwe weredi na kubaki kusikiliza wakubwa wako wanasemaje.
Kiujumla TZ hakuna vyama vya siasa bali kuna magenge ya watu wanaotumia siasa kunufaisha matumbo yao.
EDDO ni premium member wa CCMZitto, Lipumba na Slaa walikuwa watu wa ccm kitambo sasa kama wataungana sijui itakuwa ni ccm 2! Wanajua wenyewe...
Coincedencol move or pre-planned?Putting a dog and a cat in the same cage aint wise enough!
Subira yavuta kheri...!Hakika hata kama watu wapige vijembe kiasi gani ila ukweli ni kwamba Lipumba ataongeza nguvu ACT kwa kiasi kikubwa sana.
Mkuu umeona mbali sanaSi jambo la ajabu sana kwenda huko maana wote kiitikadi (Zitto na Lipumba) ni sawa. Sale outs. Hakuna jipya. Kwa wasiolewa watashangalia lakini hii ni political strategy ya CCM kucheza na akili za watu. Ni dhahiri kuwa ACT ni CCM B na kipindi cha uchaguzi kina Slaa walipokuwa wanakaa Serena kwa siri na Lipumba kwenda vacation Rwanda halafu States sasa ni wakati wa kutumikia ruzuku waliozokula. Hamjiulizi Lipumba alikuwa wapi siku zote toka alipojiuzulu asidai ueneyekiti wake tena mpaka juzi na baada ya kuja tu CUF imesambaratika. Alikuwa kwenye mission kaitimiza.
Dhamira hapa ni kudhoofisha upinzani. Kitakochofuata Slaa nae atajiunga ACT na wale wachumia tumbo wa upinzani wote watakwenda huko pia kujifanya wanapigania nchi.
CUF tayari kuna mtafuruku ambao Lipumba ana mkono wake, CHADEMA napo hakukaliki kina Lema na Lissu kutwa wapo lupango, mwenyekiti anadhoofishwa kiuchumi, muda si mrefu watakuwa chali. Hapo sasa ACT wataonekana ndio tegemezi la wanyonge while in reality ni decoy tu.
Come 2020 aidha Lipumba ama Slaa atasimama kugombea urais ambapo in reality itakuwa ni CCM A versus CCM B na mshindi mnajua atakuwa nani. Na hii ndio Tanzania yetu ya kidemokrasia na amani tele............................
Ndoto za mchana nouma sana...Kuna kikao kinaendelea sasa hivi makao makuu ya chama cha ACT Wazalendo cha kumpokea Prof. Lipumba.
Karibu sana Prof. Lipumba kwenye chama.
Sidhani kama Pasco anaweza kujibu nondo hiiAsante kwa taarifa na kwa kuthibitisha mahaba yako kwa mzee!
Pili angalia ulichoandika mwanzo hukuzungumzia issue za asset au liability bro! Unahoji kwani Prof. Lazima awe kiongoz? Na mm nauliza kwani ilikuwa lazima Mzee agombee yeye? Swala la whether he was an asset or liability alishalijibu siku nyingi Dr.Slaa( siku hizi mnamuita Dr.Mihogo).
Anyway, namimi nikuibie siri na usiwambie wanaCDM, hata mwaka 2010 alishinda Dr.Slaa ila hakutangazwa sisi wana CDM ikabidi tumuite tu Rais wa mioyo yetu.
Ila baadae tukafanya kituko kimoja, 2015 tukamtosa Slaa aliyemushinda a serving president 2010 na tukamchagua Fisadi aliyekubuhu( kwa mjibu wa wana CDM) kugombea urais akiwa na siku tatu ndani ya chama ili apambane na mgeni Magufuli! Usiwambie maana hii ni record na tulistahili kuingia kwenye kile kitabu maarufu ya historia duniani!
Hili nalo usiwambie, pamoja na kushinda uchaguzi wa mwaka huu, na tayari ss tunamuita Rais wa mioyo yetu 2020 hatutampa nafasi ya kugombea kupitia CDM!
Tafadhali usiwambie wenyewe! Hii siri anajua Mbowe tu, kama alivyoijua ile ya Mzee kujiandaa kugombea kupitia CDM!
Bro, Pasco usiniambie uliweza kumjua mgombea wa CCM kabla ya mchakato wa Dodoma ila hukumjua mgombea wa CDM kabla ya mchakato wa Ufipa, hapa utakuwa umeniangusha!
Hiyo ni move kudhoofisha upinzani zaidi, yaani kupigwa kote kote, huku hufanyi mikutano na huku unazidi kugawanywa vipande.Coincedencol move or pre-planned?
Hii speach taka MAKAWA waliitamka,mwisho wa siku Fisadi akawa Malaika kwao.
A call of duty. It started last year in August when he got into CCM payroll. There are more to come after him.Coincedencol move or pre-planned?
The same question should be paused to Lowasa move. ( from ccm to cdm)Coincedencol move or pre-planned?