Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Status
Not open for further replies.
WanaJF

Kuna tetesi zinasambaa kwa kasi kwamba aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha CUF Prof Ibrahim Lipumba anajiandaa wakati wowote kutoka sasa kutangaza kujiunga na ACT Wazalendo

Taarifa hizo zinazidi kubainisha kwamba mara atakapojiunga Mwenyekiti wa chama hicho Anna Mgwira atajiuzulu nafasi hiyo ili kumpisha Lipumba

Taarifa zaidi zitawajia hivi punde

Ha ha ha! Siasa noma sana,

Nikiangalia hizi mambo za Dr Slaa Msaliti, Lipumba Msaliti, Zitto Msaliti; Lowassa fisadi then, Lowassa siyo fisadi ni mfumo!

Lipumba anaondoka CUF kwamba nafsi imemsuta, kesho anataka kurudi, imeshindikana, anatafuta chaka lingine.

Namwomba Rais wangu Dr Slaa apumzike zake, aachane na ulaghai na unafiki huu wa ACT, CDM, CCM, NCCR nk!
 
Mkuu kiujumla Tanzania hakuna upinzani unao jitambua.Huwezi kucheza kamali katika siasa,kamali inachezwa mpirani tu.Wapinzani mpaka sasa wanabanwa sana na mtukufu na huku wanagawanyika pia.

Kuondoka kwa Lipumba Cuf ndio kuondoka kwa Cuf Tanganyika.Jalibu tu kufanya tathmini ya haraka nguvu lipumba aliyonayo mikoa ya pwani,na pia angalia watu walioukuwa wanamsapoti liprofeseli kama Magdalena Sakaya na Kambaya hawa wote ndio walioukuwa wanategemewa na Cuf.

Tujiandae tu kuona Chadema ikitafuta Muunganiko na ACT ili kutotawanya kura za wale jamaa wa mikoa ya pwani.Chadema na Ukawa kiujumla kamali waliyocheza yakumpokea Edo itawaghalimu sana,labda uongozi wote wajuu ujiuzuru upishe watu wapya.

CCM ni genge hatari sana kwa uchumi wa nchi yetu lakini upinzani wenyewe huu wakina Edo,Sumaye,Lipumba kamwe hautoweza kuwaondoa CCM madarakani.Vyama tu vihangaike kuongeza ruzuku.
Mbona unaongea vitu tofauti na tulivyoona kwenye uchaguzi wa mwaka Jana??
 
Lkn Lipumba alijiondoa CUF mwaka jana na CUF wakaongeza viti vya Ubunge huku bara!
Mkuu waliongeza viti vya ubunge bara kutokana na upepo mkali wakisiasa,lakini pia Lipumba alitulia hakupigia kampeni chama chochote kile.Hii iliwapa wafuasi wake wakati mgumu wakuchagua either Ukawa or CCM.Sasa pale je atakapoamua kupanda majukwaani na kule anakopigaga siasa zake.Wapo wanaomsikiliza Lipumba sio kwa itikadi ya chama.
 
View attachment 394136 Kutokana na uvumi unaendelea kuzagaa kwenye vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo na mitandao yakijamii kwamba ACT wazelendo wapo kwenye kikao cha ndani wakijadili kumpokea prof Lipumba,ZZK amekanusha habari hizo.

Hapa chini ni nukuu ya kile alichokiandika Zitto kupitia account yake ya twitta.

"Kikao cha Kamati kuu ya Chama kinaendelea. Narudia - hakuna ajenda ya kumpokea Kiongozi yeyote wa chama kingine".

Hayo ndio maneno ya yake kwa msingi huo taarifa hizi si za kweli.
It is always like that
 
Sasa kule si wana mgombea ambaye ni Zitto?
 
Mkuu waliongeza viti vya ubunge bara kutokana na upepo mkali wakisiasa,lakini pia Lipumba alitulia hakupigia kampeni chama chochote kile.Hii iliwapa wafuasi wake wakati mgumu wakuchagua either Ukawa or CCM.Sasa pale je atakapoamua kupanda majukwaani na kule anakopigaga siasa zake.Wapo wanaomsikiliza Lipumba sio kwa itikadi ya chama.
Nadhani Prof Lipumba alivuta CCM hela nzuri Oktoba ile na hii imeondoa sana heshima yake
 
Prof Lipumba ni mgombea urais na mwenyekiti wa milele
 
Usimlinganishe Prof. Lipumba na Lowasa! ,Lowassa alukuwa mtaji, ameingia Chadema na mtaji mkubwa, he was an asset wakati Lipumba ni liability anajiunga ili apate pa kuponea! .Zitto ni mjaamaa sijui lengo la Lipumba kutafuta pa kuponea kama litatimia huko ACT! .

Kwa taarifa tuu ila usiseme ni mimi ndio nimekuambia! ,2015 aliyeshinda ni mwingine ila aliyetangwazwa ni mwingine! .

Pasco
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ndo mana abatunia[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] viva baba fread
 
Nadhani Prof Lipumba alivuta CCM hela nzuri Oktoba ile na hii imeondoa sana heshima yake
Nikweli lakini tambua wapo wafuasi uchwara wa mtu au walio kuwa wananufaika nae lazima waongozane nae atakapoelekea.

Jaribu ujiulize hivi Magdalena Sakaya(Mbunge wa Kaliua) ananufaika na nini kwa kuwa upande wa Liprofeseli?.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom