Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
Ameshahama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coincedencol move or pre-planned?
Uko sahihiNinachokiona hapa kama sio tetesi utakuwa uamuzi wa kawaida kwa Siasa za tz ni vigumu kwa chama cha Siasa cha upinzani kuwa na nguvu kwa chaguzi nyingi kama chadema walivyofanya,
hivyo kama lipumba ataongeza nguvu act kutakuwa na nguvu kubwa hivyo kuna uwezekano mkubwa act ikachukua nafasi ya Cdm kuwa chama kikuu cha upinzani
Haitakuwa ajabu kwani CUF walichukua nafasi ya NCCR na baadaye CDM wakachukua nafasi ya CUF hivyo haitakuwa ajabu kwa ACT kuchukua nafasi ya CDM.
Msinishambulie sana ni maoni yangu tu.
Yaheshimiwe.
Zito awezi kugombea urais hiyo nafasi ni lipumba kwa sababu anajua awezi shinda ili wawe Na mgombea wa kudumu lazima wawe Na lipumba kama kitilya alivyokataa kugombea kwa kuwa akuwa Na maslai Na zito hivyo hivyo zito ataendelee kugombea ubunge tu maana awana uhakika Na mbunge mwingineZito hawei mpisha,,,next election ana timiza 40+ atataka kugombea urais.
Mkuu kiujumla Tanzania hakuna upinzani unao jitambua.Huwezi kucheza kamali katika siasa,kamali inachezwa mpirani tu.Wapinzani mpaka sasa wanabanwa sana na mtukufu na huku wanagawanyika pia.Upo sahihi!Wapinzani wa TZ ni hovyo hovyo sana ndiyo yale yale ya akina Mbowe tuandamane sisi na kuwekwa mahabusu lkn wakipata nafasi za uteuzi wanawapa hadi mahawala wao bila kujali mawazo yetu
CCM itatawala milele kwa aina hii ya upinzani
Muda utasema, acha tusubiri ataongeza nguvu gani ACT! Mtu aliyekuwa mwenyekiti wa CUF kwa miaka karibu 20 na mkashuhudia CUF ikipotea bara hadi kuzimia kama si kufa leo atarajiwe kufanya mabadiliko tena baada ya kusaliti chama chake cha zamani hawezi kufanya tofauti zaidi ya kuleta mfarakano pia huko atakakowenda.Hakika hata kama watu wapige vijembe kiasi gani ila ukweli ni kwamba Lipumba ataongeza nguvu ACT kwa kiasi kikubwa sana.
Lkn Lipumba alijiondoa CUF mwaka jana na CUF wakaongeza viti vya Ubunge huku bara!Mkuu kiujumla Tanzania hakuna upinzani unao jitambua.Huwezi kucheza kamali katika siasa,kamali inachezwa mpirani tu.Wapinzani mpaka sasa wanabanwa sana na mtukufu na huku wanagawanyika pia.
Kuondoka kwa Lipumba Cuf ndio kuondoka kwa Cuf Tanganyika.Jalibu tu kufanya tathmini ya haraka nguvu lipumba aliyonayo mikoa ya pwani,na pia angalia watu walioukuwa wanamsapoti liprofeseli kama Magdalena Sakaya na Kambaya hawa wote ndio walioukuwa wanategemewa na Cuf.
Tujiandae tu kuona Chadema ikitafuta Muunganiko na ACT ili kutotawanya kura za wale jamaa wa mikoa ya pwani.Chadema na Ukawa kiujumla kamali waliyocheza yakumpokea Edo itawaghalimu sana,labda uongozi wote wajuu ujiuzuru upishe watu wapya.
CCM ni genge hatari sana kwa uchumi wa nchi yetu lakini upinzani wenyewe huu wakina Edo,Sumaye,Lipumba kamwe hautoweza kuwaondoa CCM madarakani.Vyama tu vihangaike kuongeza ruzuku.
Thread closedView attachment 394136 Kutokana na uvumi unaendelea kuzagaa kwenye vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo na mitandao yakijamii kwamba ACT wazelendo wapo kwenye kikao cha ndani wakijadili kumpokea prof Lipumba,ZZK amekanusha habari hizo.
Hapa chini ni nukuu ya kile alichokiandika Zitto kupitia account yake ya twitta.
"Kikao cha Kamati kuu ya Chama kinaendelea. Narudia - hakuna ajenda ya kumpokea Kiongozi yeyote wa chama kingine".
Hayo ndio maneno ya yake kwa msingi huo taarifa hizi si za kweli.
Naona wakwepa kodi misuli imewashupaa.Sasa anaogopa nini wakati wao wote wanafanana
Lipumba Msaliti
zitto Msaliti
ACT---Chama cha wasaliti
Lowassa nae ni mgombea wa kudumu CDM.Zito awezi kugombea urais hiyo nafasi ni lipumba kwa sababu anajua awezi shinda ili wawe Na mgombea wa kudumu lazima wawe Na lipumba kama kitilya alivyokataa kugombea kwa kuwa akuwa Na maslai Na zito hivyo hivyo zito ataendelee kugombea ubunge tu maana awana uhakika Na mbunge mwingine