Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Status
Not open for further replies.
Anaudalilisha uprofesa wake kwa kuhangaika hangaika !!!!!!!!!!
 
D pass hongera sana, mi nilipata A lakini nalima viazi, haijanisaidia...basi tu tunachangamsha baraza
A[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

ok by ze way ulitaka ufanye nin.???
 
He anaenda kuharibu na huko..kweli siasa hazina mwenyewe..atakuwa amemhonga zito bilioni ngapi?? Kweli anaenda act ilhali wanajua kabisa huyu uprofesa wake ni kuharibu vyama vya upinzani.!!!? Ok nafikiri huko nako atabatizwa upya ya kale kutoka cuf àachane nayo awe mpya sasa...karibu act baba lipumba uwaharibie huku ukawa umeshindwa. Nenda kwa wachanga wa siasa upate na uenyekiti halafu ugombee uraisi kwa miaka ishirini nafikiri itakutosha kuongeza ruzuku kwenye chama.
 
Cuf bara itakua imekufa,tatizo jipya litaibuka upande wa chadema,ikumbukwe chadema walitumia nguvu nyingi sana kuhakikisha ACT wazalendo hainyanyuki,lakini Lipumba ana wafuasi wengi sana kuliko zitto yeye wafuasi wake aliwaacha chadema
 
Wadau,

Katika kile kinachoonekana kwa mwenyekiti wa zamani wa Chama Cha Wananchi (CUF) kuipenda nafasi hiyo ambayo huenda alikula kiapo kwamba hadi allah atakapomuita basi aondoke akiwa katika nafasi hiyo ya uenyekiti, haijalishi ni wapi ila awe mwenyekiti tu! Yaani iwe kwenye siasa, vyama vya kijamii (kufa na kuzikana) au kwenye vigodoro lazima awe mwenyekiti tu!

Leo ameibukia hukooo kwa kiongozi mkuu wa chama, Hukooo! kwenye chama cha wazalendo ACT kwa lemgo la kuungana na akina M1, M2, sijui na nani mwingine vile. Vyanzo vya karibu vinatonya kuwa huko nako anataka uenyekiti. Sasa najiuliza Iron Lady aliyepeperusha bendera kwa nafasi ya Urais na kuweka historia ya kuwa mwanamke pekee Tanzania aliyegombea nafasi hiyo katika uchaguzi uliopita wa Rais, Wabunge na Madiwani. Je atakubali kumpisha Mzee wa Intarahamwe ili ashike usukani???????.....

Move ndo kwanza inaanza!!!!

Tusubiri Babu na yeye sijui atakuja na song la kutaka ukatibu!!!!!!!!
Tusubiri tuone..hii bado ni season one
 
Sio kweli jaman Jana kwenye matukio ya wiki alisema yeye bado ni mwenyekiti wa Cuf na si vinginevyo
 
Ni vema akahamia huko na kuwa mwenyekiti wa chama. Bila shaka wafuasi wake watamfuata: akina Magdalena Sakaya, Habib Mnyaa; and the like.
 
Lipumba karibu ACT wazalendo kama hizi tetesi ni za kweli.

Ni haki yako, katiba inakuruhusu.....usihadaike na kejeli.

Wanasahau yafuatayo.

Walimsema Lowassa fisadi, wakamchukua na kumpa nafasi ya kugombea urais bila ya mchakato wa demokrasia.

Walisema Sumaye zero, leo hii ndiye mgombea mtarajiwa baada ya Lowassa.

Wafuasi wa CCM wenye tuhuma wote wana uhakika wa kuhamia cdm na kupewa nafasi za uongozi ( hakuna masimango)

Karibu Lipumba msimamo wako wa kumkataa Lowassa kwa ufisadi wake ndio chanzo cha mashambulizi yote juu yako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom