Hongera Pro. Lipumba, kwa kujitambua " Birds of same Feathers", Hivyo ACT lazima wakupe Uenyekiti " uliouzowea" la sivyo haitanoga. Au bora nenda ADC kwa Hamad Rashid lakini huko usiliie cheo,hupati na hawakupi.Kuna kikao kinaendelea sasa hivi makao makuu ya chama cha ACT Wazalendo cha kumpokea Prof. Lipumba.
Karibu sana Prof. Lipumba kwenye chama.
Kwani huko anakotaka kwenda sio ccm??angeenda ccm panamfaa
lakini naona kapiga hesabu kaona upinzani ndo panamfaa maana ni rahisi kutumiwa na kupata 10%
Au Mbowe, mbona ni yeye tu kwenye uenyekiti?Bro nani hapendi madaraka!
Nijibu swali hili, Lowassa alipohamia CDM ilikuwa lazima yeye ndo agombee urais kupitia CDM? Kwa nini hakukubali kuwa mwanachama wa kawaida? Kuna tofauti gani ya hiki unachokiponda hapa na alichokifanya Lowassa?
Au kwa vile Lowassa baba yako, bila yeye mkono hauingii kunako!
Mkuu Ngongo, uko right ila kwenye kugombea uenyekiti hauko sawa! . Zitto hawezi kugombea kwa kubahatisha unless awe ndie mgombea pekee wa upinzani! . Atampokea Lipumba ili kumtumia tuu sababu Lipumba anagombeaga ili kugombea tuu na sio ili kushinda! . Mtu amegombea mara 4 na hakuwahi kupata hata asilimia moja tuu! ,na bado anasusa mtu mwingine kugombea!. Sasa Zitto atamtumia kwa hilo! .Ndio Prof Lipumba lazima afie kwenye kiti,lazima agombee uRais hilo liko wazi jamaa yuko kimaslahi zaidi.
Zitto yuko kimkakati zaidi,yeye ni Kiongozi mkuu nguvu zote za chama ziko chini yake nafasi ya mwenyekiti ACT ni sawa na katibu mwenezi unapiga parapanda weeee mwisho wa siku Kiongozi Mkuu ndio mwenye kauli ya mwisho.
Prof Lipumba na Zitto lazima wataparangana kwasababu kila mmoja atapenda kugombea urais,kila mmoja atapenda ukuu wa chama na kuwa na kauli ya mwisho katika masuala yote ya chama.
Kwanini Zitto kakubali kumpokea Prof Lipumba,Mosi anajua ACT ipo Kigoma tu haina anafsi ya kufurukuta katika siasa za Tanganyika.Prof ana uzoefu wa fitna za siasa ana weza kuleta base kubwa ya wanachama wasiofikiri hasa wale wanywa ghahawa washinda vibarazani.Anafahamu kanda ya kusini hasa pwani CUF ilikuwa na base kubwa sana ya wanachama yamkini Prof anaweza kuondoka nayo.
aende ile ya lumumba kabisa aache kutuzingua buana tushaochokaaaaaKwani huko anakotaka kwenda sio ccm??
Ila nyie mnaochukua maccm sio wasaliti?Hahahaaa...kweli Act wazalendo kimekuwa chama rasmi cha wasaliti teh teh teh ..2020 lazima mmoja atokee ubavuni
Karibu ACT dr Slaa, haya ni maneno ya kejeli ya wakwepa kodiBado Slaa yuko mbioni kujiunga na ACT
Sawa, hakuna shida, wewe endelea kupiga deki bara bara kwa mafisadi na wakwepa kodi.Lipumba akiingia act nawe kibarua chako kinakoma hapo hapo
Kwanza inapaswa kuwa 'kula' na si 'kura' na kwenye comment yangu hakuna popote niliposhabikia kuhamia kwa Lowassa CHADEMA. If it does happen that Lowassa's move was a decoy as well ita confirm point yangu zaidi juu ya mchezo mchafu wa CCM na dhihaka ya demokrasia inayowafanywa TZ. That being said we all are entitled to our opinions kwa vile tu huafikiani na mtazamo wangu hakukufanyi uwe sahihi.Tatzo liko wapi? Kama Lowassa yule, yule aliyeitwa majina yote mabaya na CDM alihamia CDM na ndani ya siku chache akateuliwa kupeperusha Bendera ya CDM kuna ubaya gani Prof. Kuhama CUF kama hajaridhika na maamuzi kama ilivyokuwa kwa Lowassa.
Anyway, hw sure are you that Lowassa's move to CDM wasn't a decoy? Au unaongea tu baada ya kura maharage cjui ya wapi!
Mlizungumza haya kwa Lowassa wakati yupo ccm, sasa hivi mnamsafisha.Ndio Prof Lipumba lazima afie kwenye kiti,lazima agombee uRais hilo liko wazi jamaa yuko kimaslahi zaidi.
Zitto yuko kimkakati zaidi,yeye ni Kiongozi mkuu nguvu zote za chama ziko chini yake nafasi ya mwenyekiti ACT ni sawa na katibu mwenezi unapiga parapanda weeee mwisho wa siku Kiongozi Mkuu ndio mwenye kauli ya mwisho.
Prof Lipumba na Zitto lazima wataparangana kwasababu kila mmoja atapenda kugombea urais,kila mmoja atapenda ukuu wa chama na kuwa na kauli ya mwisho katika masuala yote ya chama.
Kwanini Zitto kakubali kumpokea Prof Lipumba,Mosi anajua ACT ipo Kigoma tu haina anafsi ya kufurukuta katika siasa za Tanganyika.Prof ana uzoefu wa fitna za siasa ana weza kuleta base kubwa ya wanachama wasiofikiri hasa wale wanywa ghahawa washinda vibarazani.Anafahamu kanda ya kusini hasa pwani CUF ilikuwa na base kubwa sana ya wanachama yamkini Prof anaweza kuondoka nayo.
Usimlinganishe Prof. Lipumba na Lowasa! ,Lowassa alukuwa mtaji, ameingia Chadema na mtaji mkubwa, he was an asset wakati Lipumba ni liability anajiunga ili apate pa kuponea! .Zitto ni mjaamaa sijui lengo la Lipumba kutafuta pa kuponea kama litatimia huko ACT! .Bro nani hapendi madaraka!
Nijibu swali hili, Lowassa alipohamia CDM ilikuwa lazima yeye ndo agombee urais kupitia CDM? Kwa nini hakukubali kuwa mwanachama wa kawaida? Kuna tofauti gani ya hiki unachokiponda hapa na alichokifanya Lowassa?
Au kwa vile Lowassa baba yako, bila yeye mkono hauingii kunako!
Dua la kuku........Ndio Prof Lipumba lazima afie kwenye kiti,lazima agombee uRais hilo liko wazi jamaa yuko kimaslahi zaidi.
Zitto yuko kimkakati zaidi,yeye ni Kiongozi mkuu nguvu zote za chama ziko chini yake nafasi ya mwenyekiti ACT ni sawa na katibu mwenezi unapiga parapanda weeee mwisho wa siku Kiongozi Mkuu ndio mwenye kauli ya mwisho.
Prof Lipumba na Zitto lazima wataparangana kwasababu kila mmoja atapenda kugombea urais,kila mmoja atapenda ukuu wa chama na kuwa na kauli ya mwisho katika masuala yote ya chama.
Kwanini Zitto kakubali kumpokea Prof Lipumba,Mosi anajua ACT ipo Kigoma tu haina anafsi ya kufurukuta katika siasa za Tanganyika.Prof ana uzoefu wa fitna za siasa ana weza kuleta base kubwa ya wanachama wasiofikiri hasa wale wanywa ghahawa washinda vibarazani.Anafahamu kanda ya kusini hasa pwani CUF ilikuwa na base kubwa sana ya wanachama yamkini Prof anaweza kuondoka nayo.