Tetesi: Prof. Lipumba kuwaandikia barua ya onyo wabunge wa CUF waliotoka nje Bungeni

Ivi huyu Propesa mbona anazingua sana hivi.

Halafu watu wakorofi mara nyingi wanaishi miaka kibao aisee

Ndio maana Seif Sharif Hamad anaikimbiza Miaka 80 wakat Prof Nguli Lipumba hata Jk ni Mkubwa kwake
 
wakiendelea kukaidi awafukuze ateue wengine.
 
Nadhani akiwafukuza ndiyo itakuwa pouwa zaidi
Hilo ndio litakuwa jambo la kiume then uitishwe uchaguzi halafu aone kama atashinda bila support ya ukawa!Yaani CUF hadi 2020 kikipata japo jimbo moja bara watakuwa na bahati ya mtende.
 
KWA Tanzania yote yanawezekana, nchi ya kipuuzi sanaa hii nchi inatia hasira, nchi wajinga wengi sanaaa.
 
mleta mada (mtatiro) achana na bwana yule,jengen chama lenu
 
asiwape karipio awatimue na aone ugumu wa kumpata mbunge wa kuchaguliwa....
 
Hilo ndio litakuwa jambo la kiume then uitishwe uchaguzi halafu aone kama atashinda bila support ya ukawa!Yaani CUF hadi 2020 kikipata japo jimbo moja bara watakuwa na bahati ya mtende.

Akiwafuta watakachofanya ni kuwarudisha wabunge walewale kwa tikecti ya vyama vingine
 
Kweli wafukuzwe ili ule mpango wa kuuwa cuf ufanikiwe.Maana ukiitishwa uchaguzi mwingine cuf haitapata mbunge hata mmoja,hongera propesa kwakuiuwa cuf kwaajili ya njaa zako.
 
kuna watu wakuombea hata wage wanaturudisha nyuma kisa matumbo Yao na soon atawafukuza uanachama otherwise wasalimu amri
 
Kaweka history,naona CUF ya Maalim Seif na wabunge wake kufutwa.
Haitaji kuwa mnajimu,CUF Maalim Seif kuungana na Chadema.
 
Achana naye huyo mkuu. Sie huku tunasubiri SULTANI aapishwe "hivi karibuni"
 
Jamani hivi huyu Profesa ndo huyu tunayemfaham ama mwingine?Huyu mzee kiukweli anatia hasira sana basi tu
Usipate shida mkuu. Seif si katwambia ataapishwa "hivi karibuni"?
 
kureconcile na jamaa ni sawa na kutafta suluhu na aliyezini na mkeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…