#COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

#COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu ulivyokomment nimeishia kucheka tu maana akili zetu wabongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Soon tutaibuka na chanjo yetu ya kupaka sio sindano tena.
Nchi yetu ina wanasayansi "kimu" wengi kama alivyokuwa babu wa Loliondo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
KM hajui wengi wanaogopa chanjo kuliko Corona? hiyo pesa bora wangeitafutia kazi nyingine, Gwajima wakufufua misukule yupo.
 
hivi wale Taleban mbona hata balakoa hawavai...inaonekana harufu ya AK47 na moshi wake ni dawa pia...
 
Hapa ndiyo uwe hatua kubwa kufikia na kuwatambua wataalamu wa ndani waliyoweza kubuni na kutengeneza chanjo ili wapewe heshima. Je wametumia new chemical composition ipi ambayo haijawi tokea popote duniani?
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Huu utani mwingine unaudhi badala ya kufurahisha.
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Marekani na WHO wakiikataa?

Nani kawapa ruhusa?
Johnson na johnson nani azinunie?
 
Very good Dr. Makubi kwa jitihada na bidii katika kazi.
Lakini isije ikawa kama ambavyo Club moja kubwa nchini ilivyochukua copy ya jezi ya timu fulani na kuweka nembo yake.
 
Back
Top Bottom