#COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

#COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

Tatizo sio kutengeneza..., tatizo ni research ya kutosha na investment kubwa inayotumika

Sio bahati mbaya hizo chanjo yanagundua makampuni yenye funds na resources za kutosha (medicine inahitaji investments na funds) unaweza ukajaribu dawa 20, 18 zote zikawa hasara moja ukadhani inafanya kazi kumbe ina side effects ukawa sued ukapoteza mtaji wako zaidi ya nusu..., na moja tu ndio ikafanya kazi....

Hivyo basi sisi, ambao bidhaa zetu, na viwanda vyetu quality zake leaves a lot to be disered..., tungeachana na mambo ya chanjo kwanza...

Corona haina kushitakiana ina kujitoa muhanga kwa kusaini mnyewe.
 
Corona hina kushitakiana ina kujitoa muhanga kwa kusaini mnyewe.
Unadhani kama chanjo ikiua watu in the next few days hizo kampuni zitabaki kuwa kampuni ?, Au Kampuni ilikuwa founded kwenye 1800's itajikuta imekuwa historia due to bad publicity ?

Huku sio kama kushona shati ukikosea unafumua unashona tena...
 
Unadhani kama chanjo ikiua watu in the next few days hizo kampuni zitabaki kuwa kampuni ?, Au Kampuni ilikuwa founded kwenye 1800's itajikuta imekuwa historia due to bad publicity ?

Huku sio kama kushona shati ukikosea unafumua unashona tena...

Iue mara ngapi?
 
Tulibahatisha kwenye chanjo ya kuku tumeona sasa mchezo umekolea na sasa ni chanjo za binadamu.

Hatuwezi kutengeneza hata chanjo ya bangi sembuse ya Corona!
 
Hao wanasanyansi wazalendo walio mbioni walikuwa wanafanyakazi gani enzi za Magufuli?
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari

Wanaleta usanii kwenye nyumba ya wasanii.

Huenda Steve Nyerere pia alikuwapo hapo.
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Ukichaaaa
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Kwa bahati mbaya Mama kashaeweka oda ya chanjo milion 20 tena! Sidhani kama iyo anaweza kuiamini akapqta ujasiri wakusema kuwa ile chanjo ya nje hatuitaki tutuimie yetu
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari

Atatumia yeye na wanaccm maana ndio huwa wanawaamini hawa wasomi uchwara.
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Labda chanjo ya kukata mauno TOT band wakti wa kampeni
 
Hii chanjo ndio itakuwa hatari kwa maisha ya kiumbe hai chochote.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaaah
 
Hizi ndizo habari tunataka kusikia, sio ujinga ujinga tu kama vingwendu.
Asante sana umesoma vizuri sana mawazo yangu. Kwa mara nyingine asante sana.
===
Kwa sababu za kiusalama ilitakiwa iwe siri mpaka chanjo ipatikane......vinginevyo hujuma ipo nje nje! Hatujasahau wataalamu wa Iran walivyouliwa kwa mazingira tata!
 
Back
Top Bottom