#COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

#COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

Askari wa wanyama pori wawasaidie wanasayansi wazalendo kukamata ngederere na nyani wa majaribio kwa ajili ya hii chanjo ya nchi/taifa.
Nashauri hiyo chanjo wawachanje polisi kama sehemu ya majaribio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi ile chanjo ya HIV iliyokuwa kufanyiwa maharibio liishia wapi?
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Hi itakuwa ni ileile JJ inakuja kivingine ili kuhadaa watz wadungwe.

Hamjawahi gundua chanjo hata moja Leo harakaharaka hivyi ujuzi huo umetoka wapi?
 
Hi it's kuwa ni ileile JJ inakuja kivingine ili kuhadaa watz wadungwe.

Haijawahi gundua chanjo hata moja Leo harakaharaka hivyi ujuzi huo umetoka wapi?
Umeniwahi, nilikua na mawazo Kama yako!!

Vichupa vile vitachukuliwa na kubandikwa made in tz na bendera juu.

Hawa viongozi wetu bado wanadhani watanzania ni wajinga eh!?

Tusubiri mzalendo Gwajima amjibu weekend hii.

Kwa akili hizi!! Gwajboy ataendelea kuwatesa.
 
Umeniwahi, nilikua na mawazo Kama yako!!

Vichupa vile vitachukuliwa na kubandikwa made in tz na bendera juu...
Huyu mama kakurupuka Sana anaropoka ropoka tu.Utafikiri anafanya Comedy.

Yeye ni daktari anashindwaje kumjibu Gwajima kitaalamu, badala yake eti akamatwe.
 
Hii chanjo ndio itakuwa hatari kwa maisha ya kiumbe hai chochote.



cha ajabu wamekandia za kutoka nje wakidai chanjo lazima iwe kwenye majaribio si chini ya miaka kumi ,. sasa hv nao wanatoa yao.. hii ndo itakuwa ya hatar sababu ni ya kimihemuko
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Hawa ndio walikuwa na mwendazake katika hekaya zake wakamsababishia yaliyompata, sasa wameachwa tena wanaendelea na hekaya zao.
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona..
Kuanzisha viwanda bila upembuzi yakinifu ni uwenfawazimu. Kwenye suala la viwanda tuko bado sana hususan vya kuendeshwa na Serikali.

Kuna kiwanda pale Kibaha cha NDC ambacho tulijengewa na Serikali ya Cuba kinacho tengeneza viuatilifu (pesticides) kwa ajili ya kuua vidudu vinavyo sababisha malaria. Kilizinduliwa mwaka 2015 Desemba, je nani anajuwa status yake kwa sasa?
 
Hawa jamaa bwana hata nyungu na nyumba ya kujifukiza pale Muhimbili walibuni wao lakini leo wanakana kama sio wao vile eti wanashadadia chanjo, haya maigizo ni vile ni huko Tanzania tu kwa walioamka kichwani hawawezi kufanya upuuzi kama huu, hivi inawezekanaje mawaziri na makatibu hawa hawa wa mwendazake leo hii wanawashauri watu kweli? aibu sana walitakiwa wajiudhulu wapotee kabisa wala wasisikike lakini kwakua hawana haya wako kwenye media daily eti wanapigia debe chanjo
 
Back
Top Bottom